×

Video: Chalamila Aitaka TANESCO Kuchunguza Kauli ya Padri Kitima

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameielekeza TANESCO kuchukua hatua na kuchunguza kwa kina kauli iliyotolewa na...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Akagua Uharibifu Kiwanda Cha Magodoro Cha Banco

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 05, 2025 amekagua Kiwanda cha Magodoro cha Banco kilichopo mkoani Mwanza ambacho kilichoharibiwa...

READ MORE

Video: Polisi Yapiga Marufuku Maandamano ya Desemba 9, Yasifanyike Nchi Nzima

Jeshi la Polisi Tanzania limepiga marufuku “maandamano ya amani yasiyo na kikomo,” yaliyotangazwa kufanyika Desemba 9, 2025, likisema yamekosa sifa...

READ MORE

Ifanye Sikukuu Msimu wa Bahati Na Holiday Drops 2025 Ya Meridianbet

Msimu huu wa sikukuu, Meridianbet imeamua kukupa sababu mpya ya kutabasamu kwa kukuletea nafasi ya kubadilisha burudani yako ya kila...

READ MORE

Saleh Jembe Avunja Ukimya Kuhusu Tetesi za DP World na Simba – Video

Mchambuzi mahiri wa soka nchini, Saleh Jembe (@salehjembefacts), ametolea ufafanuzi tetesi zinazozagaa mitandaoni kuhusu kampuni ya DP World kudaiwa kuwa...

READ MORE

Urusi Yapiga Hodi India Wakati Marekani Ikiongeza Ushuru wa Biashara

Rais wa Urusi, Vladimir Putin, anaanza ziara ya siku mbili nchini India katika juhudi za kuimarisha ushirikiano, hususan katika sekta...

READ MORE

TRA Yaibuka Kidedea Tuzo ya Uandaaji Hesabu Kwa Viwango vya Kimataifa

MAMLAKA ya Mapato tanzania (TRA), imeibuka Mshindi wa kwanza wa jumla katika tuzo ya Uandaaji wa Hesabu za Kifedha zinazozingatia...

READ MORE

Taarifa, Odds Kubwa na Fursa za Ushindi Zinakungoja Kwenye Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sport Portal? Hili ni jukwaa kubwa kabisa ambalo kutokana na upana limekuja kwaajili ya kumrahisishia kazi mteja wa Meridianbet...

READ MORE

Wasanii 10 Waliofanya Vizuri Tanzania Mwaka 2025

Mwaka 2025 umeendelea kuthibitisha nguvu ya Bongo Flava na aina nyingine za muziki zinazozalishwa Tanzania. Kwa mwaka huu tumeshuhudia wasanii...

READ MORE

Benki Ya Absa Tanzania Yang’ara Tuzo Za NBAA 

Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila ( kulia), akikabidhi tuzo ya mshindi wa pili wa...

READ MORE

Yanga Yashinda Mabao 2-0 Dhidi ya Fountain Gate, Dube Atupia Penalti

Dakika 90 za mchuano wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara zimemalizika kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, jijini Dar es...

READ MORE

Spika Zungu Aonana na Mabalozi wa EU, Mazungumzo Yalenga Kuimarisha Ushirikiano wa Kibunge

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mabalozi...

READ MORE

Watanzania Washauriwa Kuendeleza Utamaduni Kutumia Njia Ya Mazungumzo Wanapokutana Na Changamoto Za Kisiasa, Kijamii Na Kiuchumi 

WATANZANIA wameshauriwa kuendeleza utamaduni kutumia njia ya mazungumzo pale wanapokutana na changamoto za kisiasa, kijamii na kiuchumi. Ushauri huo umetolewa...

READ MORE

RC Arusha Awakilisha Tanzania Katika Maandalizi ya Mkutano wa Mabunge Duniani

Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA. Amos Gabriel Makalla mapema leo Alhamisi Disemba 04, 2025 ameupokea na kuzungumza na Ujumbe...

READ MORE

Shetta Achaguliwa Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam

Diwani wa Kata ya Mchikichini, Nurdin Bilal maarufu Shetta, amechaguliwa kuwa Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam. Uchaguzi...

READ MORE

Super Unleaded vs Unleaded: Ni Mafuta Gani Yanayofaa gari lako? Soma Hapa

  Katika dunia ya leo ambapo teknolojia ya magari inazidi kukua, madereva wengi wamekuwa wakijiuliza ni mafuta yapi yanafaa zaidi...

READ MORE

Kesi ya Mange Kimambi Yaaahirishwa Hadi Januari 2026 – Sababu Ni Upelelezi Haujakamilika

Kesi ya Uhujumu Uchumi namba 000021172 ya mwaka 2025, inayomkabili Mwanaharakati Mange Kimambi imeahirishwa mpaka Januari 28, 2026 baada ya...

READ MORE

Polisi Morogoro Wafuatilia Kutoweka kwa Mtawa Silianus Korongo – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema linafuatilia taarifa za kutoweka kwa Mtawa aliyetambulika kwa jina la Silianus Korongo (49)...

READ MORE

Nafasi Mpya ya Ajira: Customer Care Wanaohitajika Mara Moja

Nafasi ya Kazi: Customer Care Tunakaribisha maombi kutoka kwa waombaji wenye sifa stahiki kwa ajili ya nafasi ya Customer Care....

READ MORE

Polisi Tarime Rorya Wakanusha Taarifa za Kutekwa kwa Mkazi wa Gwitiryo

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tarime Rorya limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu kutekwa kwa Fredrick Mang’era Kemange maarufu British, mkazi...

READ MORE