×

Rais Samia Anakabidhiwa Kombe la COSAFA na Twiga Stars – Video

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Kombe la Ubingwa wa COSAFA kutoka kwa Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake...

READ MORE

Waliofanya Fujo Msafara wa Makamu wa Rais Wakamatwa

MAOFISA wa Polisi katika Mji wa Busia nchini Kenya, wamewakamata watuhumiwa nane wanaodaiwa kuhusika na vurugu zilizotokea Jumamosi katika ziara...

READ MORE

Mapya Yaibuka: Tukio la SunguSungu Kumuua Utingo wa Dangote – Video

Siku chache baada ya kutokea tukio la kikatili la sungusungu wa Mtaa wa Goroka A, Kata ya Tuangoma, Kongowe jijini...

READ MORE

Umoja Wa Ulaya ‘EU’, ZIFF Kuonesha Filamu Mikoa Minne

UMOJA wa Ulaya (EU), Nchini umezindua rasmi uoneshaji wa filamu mbalimbali ikiwemo zile zilizotwaa tuzo mwaka huu wakati wa tamasha...

READ MORE

Fei Toto: Nitawafunga sana mabao ya mbali

KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amewachimba mkwara makipa wa Ligi Kuu Bara kwa kusema kuwa atahakikisha anaendelea kufunga...

READ MORE

Wamiliki wa Malori Waendelea Kumlilia Rais Samia

    Wanachama wa Chama cha Wamiliki Malori Wadogo na Wa kati nchini, Tanzania Medium and Small Truck Owners Association...

READ MORE

Nabi Amjaza Upepo Mayele Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ni kama amewajaza upepo washambuliaji wa timu hiyo akiwemo Fiston Mayele kwa kuwa waambia...

READ MORE

Tambwe: Kwa Yanga Hii Ningefunga Sana

KINARA wa mabao kwenye ligi ya Championship, Amis Tambwe amesema kuwa kwa Yanga hii ya sasa ilivyokuwa tamu yeye angefunga...

READ MORE

Ansu Fati: Siwezi Kumfikia Messi

KINDA wa Barcelona, Ansu Fati amesema kuwa alipata ofa nyingi sana lakini akaamua kubaki Barcelona na wala hana wasiwasi kuvaa...

READ MORE

China Yatangaza ‘Lockdown’ Mji wa Lanzhou

SERIKALI ya China imetangaza kufunga shughuli zote za kawaida kwenye mji wa Lanzhou wenye watu takriban milioni 4 na kuaamuru...

READ MORE

Wafugaji Wamshambulia Mwenyekiti

  WATU zaidi ya 20 ambao ni jamii ya wafugaji wanadaiwa kumshambulia Mwenyekiti wa Chama Cha Ushirika wa Wakulima wa...

READ MORE

Zimebaki Siku Nne Dar Boxing Derby

KUELEKELEA katika pambano la Dar Boxing Derby ‘mwana ukome’ kwa sasa zimebakia siku nne kwa mabondia 30 kupasuana katika pambano...

READ MORE

Kijana Atupwa Jela Miaka 25 kwa Ku-Google Namna ya Kuua

Kijana Jamar Bailey (21) mkazi wa Birmingham amehukumiwa kifungo cha zaidi ya miaka 25 jela mahakama ya Birmingham Crown nchini...

READ MORE

Burna Boy Amwambia Mama Yake Hataoa

SUPASTAA wa muziki barani Africa kutoka pande za Nigeria Damini, Ebunoluwa Ogulu maarufu kama Burna Boy amefunguka kuwa mama yake...

READ MORE

Akili za Fei Toto Zinawaza Kufunga

KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum, ‘Fei Toto’ amesema kuwa akiwa uwanjani yeye anawaza kufunga ama kutengeneza nafasi ya bao kwa...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumatano, Oktoba 27, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 27, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Halopesa Yazindua Huduma Ya “Play & Win”

  Halotel Tanzania kupitia huduma yake ya HaloPesa, inawaletea wateja huduma nyingine bora inayowapa fursa ya kujishindia zawadi kabambe; HaloPesa...

READ MORE

Breaking: Ajali Yauwa Wawili Arusha – Video

Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la kampuni ya Kimotco ya jijini...

READ MORE

Kocha Gomes Aaga: Nimeamua Kuwajibika, Sina wa Kumlaumu – Video

IKIWA ni saa chache baada ya kutangazwa kuachana na Klabu yake yake, aliyekuwa Kocha wa Simba, Didier Gomes Da Rosa...

READ MORE