×

Ajali ya Basi Yaua Abiria wa Bodaboda Kibaha

AJALI mbaya imetokea usiku huu katika eneo la Kwa Mathias wilayani Kibaha, mkoani Pwani wakati basi lenye namba za usajili...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Kwa Mara ya Kwanza, Flaviana Matata Aanika Mazito Baada ya Kuachana na Mumewe

MISS Universe Tanzania 2007 ambaye kwa sasa ni mwanamitindo, mwanaharakati na mfanyabiashara maarufu, Flaviana Matata @flavianamatata, kupitia ukurasa wake wa Instagram...

READ MORE

Eti, Madalali Siyo Watu Wazuri?

  WAZIRI wa Ardhi, William Lukuvi amewashukia madalali kote nchini na kuwaambia ni marufuku kuchukua kodi ya mwezi kwa wapangaji....

READ MORE

Waliofariki kwa Mlipuko Uganda Wafikia Sita – Pichaz

Watu 6 wamethibitika kufariki dunia mpaka sasa huku wawili kati yao wakiwa maafisa polisi, kufuatia milipuko miwili kutokea jijini Kampala...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Azindua Kiwanda cha Vifaa vya Kisasa vya Ujenzi

    WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo amezindua Kampuni ya Kutengeneza Vifaa vya kisasa vya Ujenzi pamoja na kujishughulisha na...

READ MORE

Milipuko Iliyotokea Kampala Ni Mabomu Ya Kujitoa Muhanga- Polisi

Jeshi la polisi nchini Uganda limeeleza kuwa milipuko miwili iliyotokea asubuhi ya leo, Novemba 16, 2021 kwenye kizuizi cha barabarani...

READ MORE

Fahyma ‘Atamuua’ Paula

MADAI kwamba, mwanamitindo Fahyma amerudiana na baba wa mtoto wake, Rayvann zinatajwa kuwa zitamuua mpenzi wa sasa wa jamaa huyo,...

READ MORE

Ukikamata Wafungwa Hawa Unapewa Zawadi ya Bilioni 1.23

MAMLAKA nchini Kenya imetangaza zawadi kwa atakayetoa taarifa zitakazosaidai kukamatwa kwa wafungwa “hatari” waliotoroka jela walimokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma zinazohusiana...

READ MORE

Nabi Apiga Marufuku Kubutua Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga Mtunisia, Nasreddine Nabi anataka kuona timu yake ikiendelea kucheza soka safi la kisasa la pasi nyingi...

READ MORE

Nguruwe Abakwa Akisubiri Kuchinjwa

MKAZI wa Kijiji cha Mavanga kilichopo katika kata ya Mavanga wilayani Ludewa mkoani Njombe ambaye jina lake halijafahamika anashikiliwa na Jeshi...

READ MORE

Jack Cliff Atoka Jela Baada ya Kutumikia Kifungo China

Hatimaye model maarufu Bongo, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Cliff’ ameachiwa huru baada ya kutumikia kifungo cha miaka nane jela Macao...

READ MORE

TECNO Camon 18 Kuja na Gimbal Kamera

Kuelekea mwisho wa mwaka 2021 kampuni ya simu za mkononi TECNO yenye mashabiki wengi hasa upande wa simu janja inatarajiwa...

READ MORE

Breaking: Milipuko Miwili Yaua Tena Uganda

BREAKING NEWS: Milipuko miwili imetokea katika Mji mkuu wa Kampala nchini Uganda, mapema leo Jumanne, Novemba 16, 2021 huku watu...

READ MORE

Breaking: Maduka 43 Yateketea kwa Moto Tunduma

MADUKA 43 yameteketea alfajiri ya leo Jumanne, Novemba 16, 2021 baada ya jengo moja ndani ya Soko la Manzese, wilayani...

READ MORE

Simbachawene Aipongeza LSF Kuzindua Mpango Mkakati Mpya 2022/2026

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema Mpango wa Miaka mitano wa Shirika la Huduma za Msaada...

READ MORE

Wolper: Hata Nikimfumania Baba Mtoto Simuachi

KUNA stori ambazo zimekuwa zikisambaa zikidai kwamba, baba mtoto wa mwigizaji wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper aitwaye Rich Mitindo eti...

READ MORE

Dalali Kuchukua Kodi ya Mwezi ni Ujambazi

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, amewapiga marufuku madalali wa nyumba wanaochukua kodi ya mwezi mmoja...

READ MORE

Live: Membe Aibuka Na Mgombea Binafsi, Katiba Mpya – Front Page

 KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa...

READ MORE

Vijana Mwanza Watakiwa Kujiajiri

Wanachama wa Kikundi cha Wafanyabiashara na Watumishi wa Umma  Marafiki kutoka jijini  Mwanza maarufu ‘Mwanza Friends Association’ wanaofanya shughuli zao kwenye mikoa...

READ MORE