×

Shabiki Man City Apigwa na Kitu Kizito

WATU watano wanashikiliwa na vyombo vya Usalama vya Ubelgiji baada ya shabiki wa klabu ya Manchester City kushambuliwa wakati wa...

READ MORE

Wakili IPTL Aomba Kukiri Makosa Akamzike Baba Yake

MWANASHERIA wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Joseph Makandege, ameiomba tena kufanya mazungumzo na ofisi...

READ MORE

Rais Kenyatta Aondoa Masharti ya Kutotoka Nje

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ameondoa masharti ya kutotoka nje usiku kwa wananchi wake ambayo yaliwekwa  tangu Machi 2020 ili...

READ MORE

Mbunge Mpembenwe Afanya Balaa Tena Kibiti, Ashusha Tena Shehena ya Saruji

    MBUNGE wa Jimbo la Kibiti mkoani Pwani, Mheshimiwa Twaha Mpembenwe baada ya kugawa vifaa vya ujenzi katika kata...

READ MORE

Yanga Waaga Mwili wa Baba Mzazi wa Paul Godfrey Temeke

Kikosi  cha Yanga baada ya kufika Dar es Salaam, kilienda Hospital ya Temeke kwa ajili ya kuaga mwili wa Baba...

READ MORE

Kumbukumbu za Miamala ya Simu za Sabaya Zatua Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imetupilia mbali pingamizi la kutaka nyaraka mbalimbali zikiwemo kumbukumbu za kupiga na kupokea simu, kutuma...

READ MORE

Meek Mill Afunguka Kuacha Muziki

RAPA wa Kimarekani anayetamba na albamu yake ya Expensive Pain,  Robert Rihmeek Williams al-maarufu Meek Mill, ameweka wazi juu ya...

READ MORE

Meneja Ulinzi Vodacom Apanda Kizimbani Kesi ya Sabaya

MENEJA wa Ulinzi na Mshirika Katika Vyombo vya Ulinzi na Usalama Vodacom PLC Makao Makuu, James Wawenje amepanda kizimbani leo...

READ MORE

Askofu Akutana na Waganga wa Kienyeji Gamboshi

ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu amekutana na Waganga wa tiba asili na tiba mbadala katika...

READ MORE

Majaji 98 Wanawake Waapishwa Misri

KWA mara ya kwanza katika historia, Misri imewaapisha  wanawake 98 kuwa Majaji katika moja ya vyombo vikuu vya idara ya...

READ MORE

Syria: Wanajeshi 14 Wafariki kwa Shambulio la Bomu

Takribani wanajeshi 14 wa Syria wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya mabomu kulipuka katika basi walilokuwa wakisafiria, tukio...

READ MORE

Kijana Mtanzania Aliyeuawa Marekani, Familia Yanena Mazito

Familia ya Kijana Mtanzania Humphrey Magwira aliyeuawa kwa kupigwa risasi siku ya Ijumaa kufuatia ajali ya gari alilokuwa akiendesha kugonga...

READ MORE

Mwalimu Mkuu Ampiga Na Kumng’oa Jino Mwalimu Mwenzake-Video

Jeshi la polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi mkuyuni Morogoro vijiji Mussa Hasira Kwa Tuhuma...

READ MORE

Jaji Siyani Ajitoa Kesi ya Mbowe

Jaji Mustapha Siyani aliyekuwa akiendesha kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake  amejitoka kuendesha kesi hiyo leo Jumatano,...

READ MORE

Askofu Mwamakula Alivyoangusha Maombi Mahakamani Kesi ya Mbowe

Askofu wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Emmaus Mwamakula, ameendesha maombi maalum katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa...

READ MORE

Baada ya Kuitungua KMC, Yanga Yarejea Dar

KIKOSI cha Yanga kimetua saa 4:00 asubuhi hii kikitokea Songea mkoani Ruvuma kwenye mchezo wa ligi dhidi ya KMC na...

READ MORE

Wamachinga Wanafunguka, Vurugu Zilizotokea Jana-Video

BAADA ya jana kutokea vurugu Kariakoo zilizohusisha wamachinga ambao wanatakiwa kuhama kwenye maeneo wanayofanyia biashara kwa sasa na kwenda maeneo...

READ MORE

Mahakama Yatupilia Mbali Pingamizi la Mbowe

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, leo Jumatano Oktoba 20, 2021 imetoa hukumu ya kesi ndogo...

READ MORE

Uganda Yazindua Gari la Kivita Lililoundwa Nchini Humo

KAMANDA wa vikosi vya ardhi nchini Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ameweka kwenye Twitter picha ya kile anachosema kuwa gari la...

READ MORE