×

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumamosi, Oktoba 30, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 30, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Waziri Ndaki Ashuhudia Uzinduzi Wa Bima Maalum Ya Nmb na Britam

  BENKI ya NMB kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Britam wamezindua bima maalum ijulikanayo kama Jahazi kwa ajili...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Mkataba wa Lwandamina Wamalizika Azam, Apewa Shavu

LICHA ya kuwa na matokeo mabaya msimu huu Kocha Mkuu wa Azam FC, George Lwandamina ameongezewa mkataba wa mwaka mmoja...

READ MORE

Mfungwa Adungwa Sindano ya Kifo

Jimbo la Marekani la Oklahoma limetekeleza adhabu ya kifo kwa kumdunga sindano ya sumu iliyomuua mfungwa mara ya kwanza baada...

READ MORE

Walinzi Binafsi, Waandishi Binafsi Marufuku Serikalini

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaagiza Mawaziri na Naibu Waziri wasimamie taasisi na idara zilizopo chini ya wizara zao ili zizingatie...

READ MORE

Yanga Yateua Kamati ya Ufundi

MWEMYEKITI wa Yanga kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji Klabu hiyo wameteua Kamati ya Ufundi yenye watu 6.   Kamati...

READ MORE

Rais Samia Kwenda Scotland Kesho

Rais Samia Suluhu Hassan, kesho tarehe 30 Oktoba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa...

READ MORE

Ndege Yapotea na Rubani Ruvuma

NDEGE ya Shirika la Uhifadhi Pams Foundation Aina ya Bathawk 5HWXO iliyokuwa ikisaidia kutafuta Faru Weusi katika Pori la Akiba...

READ MORE

Machinga Barabarani Mwisho Leo, RC Makalla Atoa Tamko

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla amewataka Wafanyabiashara Wanaofanya biashara maeneo yaliyokatazwa hususani Kariakoo kufika Soko...

READ MORE

Marufuku Kuvaa Hivi Marekani

Shule tatu za msingi katika jimbo la New York zimepiga marufuku mavazi ya Halloween yanayofanana na yale yaliyovaliwa na washiriki...

READ MORE

Baba Amuua Mtoto Wake kwa Kipigo

Elibariki Shaban (50, Mkazi wa Kijiji cha Bassotu Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua...

READ MORE

Majaliwa: Samia Tena 2025

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema mwaka 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitampeleka kwa wananchi mtu mmoja, Rais Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Mtoto Asimulia Kwa Uchungu Shangazi Kumvunja Shingo-Video

Mtoto Grace Gasper amepata ulemavu baada ya kuvunjwa shingo na shangazi yake wakiwa wanacheza na mtoto wa shangazi yake, Grace...

READ MORE

Kutoka Mahakamani: Ripoti ya Uchunguzi wa Silaha Kesi ya Mbowe

KESI ya uhujumu uchumi inayomhusisha Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wanaokabiliwa na mashtaka ya ugaidi, imeendelea tena...

READ MORE

Silaha Nzito Ya Kivita Yakamatwa Dar-Video

Silaha Nzito Ya Kivita Yakamatwa Dar, Kamanda Murilo Awasha Moto Mkali Kuwasaka Majambazi Sugu. 

READ MORE

Nabi Aiandalia Dozi Nzito Azam

KUELEKEA kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Azam FC, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, ameandaa dozi nzito ambapo amewapa...

READ MORE

Facebook Yabadili Jina Sasa ni ‘Meta’

KAMPUNI Facebook imebadilisha jina lake la kampuni na kujiita Meta ikiwa ni mpango wake wa kujiimarisha sokoni. Kampuni hiyo imesema...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi UDOM, Drivers

      DUTIES AND RESPONSIBILITIES   i. To drive vehicles towards approved destinations and in accordance with traffic regulations....

READ MORE

Kiba: Sikumwalika Shilole

SIKU chache baada ya mwanadada Esha Buheti kutangaza kujiweka kando kumsapoti Alikiba kwa kile alichodai kutothaminiwa na mwanamuziki huyo licha...

READ MORE