×

Waziri Ummy Awasimamisha Kazi Watumishi Wanne

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi wiki...

READ MORE

Kampuni Nike Yamtema Neymar

KAMPUNI kubwa ya mavazi nchini Marekani Nike inasema iliacha kufanya kazi na mwanasoka wa Brazil Neymar kwa sababu “alikataa kushirikiana...

READ MORE

Waliochanjwa Kenya Kuchanjwa Tena

WIZARA ya Afya ya Kenya imezishauri hospitali kuacha kutoa dozi ya kwanza ya chanjo ya AstraZeneca kwa ajili ya kujikinga...

READ MORE

Historia ya Kagame, Rais Aliyeitoa Rwanda Machinjioni! – Video

PAUL Kagame alizaliwa RWANDA, akakulia ukimbizini, akatembelea kucha, akaonja adha ya kuwa mkimbizi, akaapa kurudi kwao, na kweli akarudi kwa...

READ MORE

Watu Laki 4 Watoroka Mlipuko wa Volkano Congo

UMOJA wa Mataifa umesema kwamba zaidi ya watu 400,000 wametoroka Mji wa Goma nchini DR Congo kutokana na hofu ya...

READ MORE

Mgambo Matatani kwa Tuhuma za Mauwaji

JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma linawashikilia askari wanne wa Jeshi la Akiba la Mgambo, kwa tuhuma za kumpiga na...

READ MORE

Vitu Vipyaa! Kuuzwa kwa Mnada Bei Chee – Video

TAMBAZA AUCTION MART & GENERAL BROKERS LIMITED kwa idhini tuliyopewa tunawatangazia mnada wa hadhara utakaofanyika Jumamosi hii ya Mei 29,...

READ MORE

Usher na Jenn Watarajia Mtoto

STAA wa miondoko ya muziki wa Rnb Usher Raymond  (Usher) na mpenzi wake Jenn wanatarajia kupata mtoto wao wa pili,...

READ MORE

Fainali Ya Uefa League Wikiendi Hii

Meridianbet haijawahi kukuacha kinyonge. Baada ya Fainali ya Europa League iliyokuwa na Odds bomba. Sasa, unaweza kufurahia Wikiendi yako ukibashiri...

READ MORE

Fursa Kwa Wabunifu Afrika Mashariki

MFUKO wa kusaidia biashara ya ubunifu Afrika Mashariki wa HEVA (EACBF) umetoa fursa kwa wabunifu kuomba mkopo utakaowawezesha kuwavusha baada...

READ MORE

Jambazi ‘Sugu’ Auawa Beach, Kamanda Mpya Dar Azungumza -Video

KAMANDA Mpya wa kanda maalum ya Dar, amethibitisha kukamatwa kwa watu 15 waliohusika katika matukio tofauti ya kihalifu, ambapo pia...

READ MORE

Kocha wa Taifa Stars Atangaza Kikosi, Kuingia Kambini Juni 5 -Video

KOCHA wa Taifa Stars, Kim Poulsen, leo Mei 28, 2021 ameitisha mkutano na wanahabari ili kutaja kikosi kitakachoingia kambini Juni...

READ MORE

Live: Waziri Mkuu Anaongoza Uzinduzi Wa Maonesho Ya Pili Ya Elimu

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, leo Mei 28 amehudhuria manesho ya pili ya elimu na mafunzo ya ufundi jijini Dodoma. ⚫️...

READ MORE

Video: Aliyeanguka Kwenye Karai La Mafuta ya Moto Aomba Msaada

GLOBAL JAMII Wiki hii tumefanya mahojiano na mwanamke, Eva Emmanuel (31) aliyepata ajali ya moto hali iliyomsababishia kuharibika muonekano wa...

READ MORE

Majaliwa Awasimamisha Kazi Watendaji Wizara ya Fedha

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Mkaguzi Mkuu, Mkaguzi Msaidizi pamoja na baadhi...

READ MORE

Rashford Ateta na Obama

MSHAMBULIAJI wa Manchester United na England Marcus Rashford, amezungumza na aliyekuwa rais wa Marekani Barrack Obama kuhusu jinsi vijana wanaweza...

READ MORE

Shuga Sukari sehemu ya 1

“Sandra alikuwa toto haswaa, mweupe, mrefu kiasi, kibonge wa nguvu, mzuri wa sura, macho muda wote kama amekula kungu na...

READ MORE

Vee Money & Rotimi Waachia Kitabu Chao Kipya ‘Swahili 101’

  MSANII wa Bongo Fleva, @vanessamdee ‘Vee Money’ na mpenzi wake @rotimi wametayarisha kitabu chao cha Lugha ya Kiswahili na...

READ MORE

Madrid, Barcelona Hatihati Kucheza UEFA

IMERIPOTIWA kuwa kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA) lipo mbioni kutoa adhabu kwa Real Madrid, Barcelona...

READ MORE