×

Wauzaji na Wasambaji Nyavu Haramu Kikaangoni

SERIKALI imepanga kuweka utaratibu wa kutambua hatua mbalimbali za upatikanaji wa nyavu za uvuvi tangu kutengenezwa kwake hadi kusambazwa na...

READ MORE

Vifo 120 Majeruhi 332 Ajali za Barabarani

KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi,Wilbrod Mutafungwa ametoa taarifa ya hali ya Usalama Barabarani nchini....

READ MORE

SHAKA AKABIDHIWA RASMI OFISI YA IDARA YA ITIKADI NA UENEZI

  Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Itikadi na Uenezi ndg Shaka Hamdu Shaka amebidhiwa ofisi ya Idara ya Itikadi...

READ MORE

Jafo Asisitiza Utunzaji wa Mazingira Mkoani Arusha

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo ametoa msisitizo katika suala la usafi na...

READ MORE

Nafasi ya kazi Kazini Kwetu, Media Buyer

We are seeking a highly motivated Media Buyer with 2-4 years of experience to join our team. You will work...

READ MORE

Gomes Ana Hasira na Yanga

HASIRA za Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomes kwa sasa zipo katika kubeba makombe mawili ya ndani ambayo anashindania sambamba...

READ MORE

Global Comedy: Shemeji Apagawa, Akubali Kaka Yake Kuwa Mume Bwege

CHEKA, Unenepe, Uvunje Mbavu, Upunguze Stress, Usahau Madeni, uongeze siku za kuishi, kupitia GLOBAL COMEDY, Raha ya maisha ni KUCHEKA....

READ MORE

Jezi Mpya za Meridian Bet Zaipa Mzuka LCL Kwenye Ligi Kuu ya Walemavu

Msaada wa vifaa vya michezo vilivyotolewa na kampuni ya kubashiri matokeo ya Meridian Bet umeipa mzuka timu ya Lenster senior...

READ MORE

Muda wa Kutuma Maombi ya Ajira Waongezwa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ummy Mwalimu, ametangaza kuongeza muda wa kutuma maombi ya ajira zilizotangazwa na Wizara....

READ MORE

Mwambusi Bado Ana Mkataba Yanga

IMEBAINIKA kwamba, aliyekuwa Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga, Juma Mwambusi, bado ana mkataba na klabu hiyo unaotarajiwa kumalizika Juni 30,...

READ MORE

Video: Kheri James Amchana Waziri Katambi – “Mabando Bado Yapo Juu”

Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umeitaka Serikali kuingilia kati suala la gharama zinazotozwa katika vifurushi vya huduma...

READ MORE

Watu 3,000 Wakimbilia Rwanda Baada ya Volcano Kulipuka

  MAELFU ya watu wamekimbia makazi yao nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya volkano kubwa kulipuka.   Chemchemi...

READ MORE

Naibu Waziri Ulega na Shigongo Wazindua Ushirika wa Wavuvi

NAIBU Waziri wa Uvuvi,  Abdallah Ulega akiwa na Mbunge wa Jimbo la Buchosa,  Eric Shigongo pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri...

READ MORE

Serikali Yatoa Maagizo Kwa Wamiliki Viwanda Vya Chuma Nchini

Serikali imewaagiza wamiliki wa viwanda vya chuma nchini kukaa kikao cha pamoja kwa ajili ya kujadili na kukubaliana kuhusu teknolojia...

READ MORE

Rasmi Ndoa Ya Mobeto, Fred Yanukia

KAMA utakumbuka, mapema mwanzoni mwa mwaka huu, mwanamitindo na msanii wa Bongo Fleva, Hamisa Hassan Mobeto alitangaza kwamba, mwaka huu,...

READ MORE

Ujenzi wa Bwawa JNHPP Wafikia Asilimia 51.5

WAZIRI wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amesema kuwa, utekelezaji wa mradi mkubwa wa kufua umeme kwa maji wa Julius Nyerere...

READ MORE

Nafasi ya kazi 10 National Audit Office (NAOT), Mkaguzi wa Daraja la II

POST MKAGUZI WA DARAJA LA II – 10 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING EMPLOYER NATIONAL AUDIT OFFICE (NAOT) APPLICATION...

READ MORE

Carlinhos Arejea, Nabi Amuita Fasta

KOCHA Mkuu wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amemuunganisha kwenye kikosi kitakachoenda Shinyanga, kiungo wake raia wa Angola, Carlos...

READ MORE

Mahafali Mtandao Ya Wanafunzi 667 Wa Aku Kutoka Mabara Matatu Yafana

Mahafali ya kwanza ya kimtandao kwa wanafunzi 667 kutoka mabara matatu ya Afrika, Asia na Ulaya waliokuwa wanasoma Chuo Kikuu...

READ MORE