×

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Amanikirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Aprili 29, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Aprili 29, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

NMB Yaendelea Kukua Ikipata Matokeo Mazuri Katika Robo ya kwanza mwaka 2021

Benki inayoongoza nchini Tanzania, NMB imeendeleza ufanisi wake kiutendaji katika robo ya kwanza ya mwaka 2021. Faida ya benki kabla...

READ MORE

Mama Ala Michango ya Harusi Kujilipa Mahari

Mama anayefahamika kwa jina la Noelia mkazi wa Nsemulwa shuleni, wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, amekula pesa za michango ya...

READ MORE

Kenya Yasitisha Safari za Ndege India

SERIKALI ya Kenya imesitisha kwa muda safari za ndege za abiria wanaotoka India. Waziri wa afya Mutahi Kagwe amesema hatua...

READ MORE

Washtakiwa 243 Wakiri Makosa, Walipa Fidia, Faini Bil 35.07

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi, amesema kiasi cha shilingi bilioni 35.07 kimepatikana baada ya washtakiwa mbalimbali kukiri...

READ MORE

Wahuni Waiba Kengele ya Kanisa Yenye Kilo 500

WATU wasiojulikana wameripotiwa kuiba kengele ya kanisa la Virgin Mary Orthodox lililoko eneo la Limuru kaunti ya Kiambu nchini Kenya...

READ MORE

Mbunge Amtaka Prof. Kabudi Akalale Magereza

Mbunge wa Mlimba kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Godwin Kunambi, amemuomba Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi, endapo...

READ MORE

Aweso: Hatutaki Bili Kichefuchefu Kuumiza Wananchi

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amezitaka Mamlaka za Maji kote nchini kuacha mara moja kuwapa malengo ya makusanyo yasiyo na...

READ MORE

Bocco Amwaga Wino Msimbazi

NAHODHA wa Simba John Raphael Bocco ‘Papaa’ naye amemwaga wino kuendelea kutumikia mabingwa hao watetezi wa ligi kuu Tanzania bara,...

READ MORE

Mbunge Akamatwa na Polisi, Wabunge Wacharuka, Spika Aahirisha Kikao

SPIKA wa Bunge la Kenya (Senate), Ken Lusaka amelazimika kuahirisha kikao vya bunge kwa muda, kufuatia kukamatwa kwa Mbunge wa...

READ MORE

Deal Done Zimbwe Aongeza Mkataba Msimbazi

NAHODHA msaidizi wa Simba Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’, leo Aprili 28 ameongeza mkataba wa kuendelea kukipiga kwenye timu hiyo. Kupitia...

READ MORE

Escobar, El Chapo, Madoff Walivyotengeza Mabilioni kwa Uhalifu

Pesa walizotengeza kupitia uhalifu ni nyingi sana na hata wakati mmoja zilizidi kiasi cha fedha katika bajeti ya baadhi ya...

READ MORE

Nabi aanza na ukuta wa chuma

KOCHA Mkuu mpya wa Yanga, raia wa Tunisia, Mohammed Nabi, juzi jioni alianza kibarua cha kukinoa kikosi hicho akitumia saa...

READ MORE

Ummy Amtaja Shigella Kuwa RC Bora, Awataka Wengine Wajitafakari

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amemtaja Martine Shigella, Mkuu...

READ MORE

Mwambieni Zimbwe Jr kuna maisha baada ya soka

MOJA kati ya jambo ambalo linawatesa wachezaji wengi waliocheza soka miaka ya nyuma ni kuwa, nyakati zao hawakuwa vizuri katika...

READ MORE

Jamaa Akubali Kumuoa Aliyekuwa Kahaba na Kuzaa Watoto 10 Baba Tofauti

JARIBU kuweka taswira ya picha ya siku ya harusi yako kila kitu kimeandaliwa lakini una wasiwasi kwa sababu haujawahi kukutana...

READ MORE

Rais Samia na Viongozi CCM Wakutana Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,...

READ MORE

Giggs Ashitakiwa Kuwanyanyasa Wanawake

MENEJA wa Klabu ya Wales, Ryan Joseph Gigs anashitakiwa makosa matatu ya unyanyasaji dhidi ya wanawake wawili. Anashutumiwa kwa kusababisha...

READ MORE

Makocha wa Mataifa Manne Wampitisha Yacouba

LICHA ya kuwa na mwendo wa kobe kwenye kucheka na nyavu, mshambuliaji namba moja wa Yanga, Yacouba Songne mwenye mabao...

READ MORE