×

Siri ya Mzee Mengi Kuwekewa Mashine Kwenye Moyo

MAREHEMU Reginald Mengi, aliyekuwa mmiliki wa kampuni za IPP, aliwekewa kifaa maalumu cha kudhibiti mapigo ya moyo (pacemaker) wiki chache...

READ MORE

Kavejuru, Simizi Waapishwa Kuwa Wabunge – Video

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amemwapisha Kavejuru Felix kuwa Mbunge wa Buhigwe, Bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu, Mei 24, 2021....

READ MORE

Wafahamu Wachezaji Wanaolipwa Mkwanja Mkubwa Zaidi Duniani

KWA kipindi kirefu cha mwaka uliopita 2020, wachezaji walio katika nafasi nzuri walitengwa, wakifanya kazi kwa mshahara wa kiwango cha...

READ MORE

Rais Mwinyi Akabidhiwa Ripoti Ya CAG Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameahidi kwamba hatua kali zitachukuliwa kwa wale...

READ MORE

Orodha ya Majina ya Kujiunga JKT Mujibu wa Sheria Mwaka 2021

JESHI la Kujenga Taifa (JKT), linawaita vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2021, kutoka shule zote...

READ MORE

Binti Mfalme wa Dubai Aliyetoweka Miezi Kadhaa, Aonekana Mtandaoni

PICHA iliyochapishwa wiki hii kwenye akaunti mbili za umma za Instagram inadai kuonyesha Princess Latifa, binti wa Mfalme wa Dubai,...

READ MORE

Mji Ambao Wanawake Wasioolewa Hawapangishwi Nyumba

WANAWAKE wasio na waume wanabaguliwa na wamiliki wa nyumba za kupangisha mjini Lagos, lakini hakuna changamoto inayokosa ufumbuzi. Idongesit Udoh...

READ MORE

Watu 15 Wafariki Kwenye Mlipuko wa Volkano

TAKRIBANI watu 15 wamethibitishwa kufariki kutokana mlipuko wa volkano uliotokea katika Mlima wa Nyiragongo, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya...

READ MORE

Mzee wa Miaka 110, Aliyetembea kwa Mguu Kutoka Songea – Tanga

GLOBAL TV Online imefunga safari kuelekea mpakani Horohoro mkoani Tanga, kwa ajili ya kwenda kukutana na mzee Njovu Kabanga, ambaye...

READ MORE

Shaffih Amvaa Mazima Mo Dewji “Punguza Munkari”

ANAADIKA Shaffih Dauda……   nikizifuatilia sana Tweet za MO Dewji ambaye ni Kiongozi wa Simba, nikiri wazi kuna Tweets zingine...

READ MORE

Nafasi ya kazi Kazini Kwetu, Credit Controller

We are looking for Credit Controller to work for our client in Dar es Salaam. As part of a team,...

READ MORE

Ninja Awasikilizia Madaktari Yanga

BEKI wa kati wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amefichukua kwa sasa anaendelea kupata huduma ya matibabu kutokana na kusumbuliwa na...

READ MORE

Azam FC: Kila Mtu Ashinde Mechi Zake

WAKIWApointi moja nyuma ya vinara Simba na Yanga kwenye vita ya kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, Azam...

READ MORE

Nabi Awekewa Mtego Yanga

KUNA mtego amewekewa Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi kuelekea msimu ujao ambapo ishu kubwa ni kwenye masuala ya kuijenga...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Mei 24, 2021- Video

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Mei 24, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Zaidi ya Bil 5 Zatengwa Kuboresha Maisha Ya Vijana Waendesha Bodaboada

  Zaidi ya vijana 200 wa Jiji la Dodoma wanaojishughulisha na usafishaji wa abiria kwa bodaboda na pikipiki za miguu...

READ MORE

Video: Global Habari Mei 23 – Sekretarieti Ya SADAC Yakutana Kwa Dharura..

Sekretarieti ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC imeitisha mkutano wa dharura wa utatu wa Jumuiya hiyo wenye lengo...

READ MORE

Global Yaichapa VIA Veteran Bao 1-0

WABABE wa soka, Global FC, juzi Ijumaa walifanya ubabe wao mbele ya VIA Veteran baada ya kuibuka na ushindi wa...

READ MORE