×

Nafasi ya kazi 10 National Audit Office (NAOT), Mkaguzi wa Daraja la II

POST MKAGUZI WA DARAJA LA II – 10 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING EMPLOYER NATIONAL AUDIT OFFICE (NAOT) APPLICATION...

READ MORE

Carlinhos Arejea, Nabi Amuita Fasta

KOCHA Mkuu wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amemuunganisha kwenye kikosi kitakachoenda Shinyanga, kiungo wake raia wa Angola, Carlos...

READ MORE

Mahafali Mtandao Ya Wanafunzi 667 Wa Aku Kutoka Mabara Matatu Yafana

Mahafali ya kwanza ya kimtandao kwa wanafunzi 667 kutoka mabara matatu ya Afrika, Asia na Ulaya waliokuwa wanasoma Chuo Kikuu...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Mei 23, 2021- Video

   Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Mei 23, 2021. Usipitwe...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Simba Yashindwa Kutinga Nusu Fainali Licha ya Ushindi wa 3-0

TIMU ya Simba licha ya ushindi Ilioupata wa mabao 3 – 0, dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini bado...

READ MORE

Mashabiki wa Simba/Kaizer Chiefs Ya Afrika Kusini Wadaka Tiketi za Bure

    KAMPUNI ya Global Group kupitia gazeti namba moja la michezo Tanzania, Championi limetoa zawadi za tiketi kwa wateja...

READ MORE

Mfahamu Kiongozi wa Hamas Anyepngoza Mapigano ya Israel

  KIONGOZI maarufu wa kikundi cha wapiganaji wa Kipalestina Hamas, Yahya Sinwar, amekuwa na nyadhifa za ngazi ya juu za...

READ MORE

Live: Simba 1-0 Kaizer Chiefs – Ligi Ya Mabingwa Afrika, Uwanja Wa Mkapa

MTANANGE wa marudiano kati ya SIMBA SC vs KAIZER CHIEFS, unachezwa leo Mei 22, katika uwanja wa Mkapa jijini Dar,...

READ MORE

Rais Samia Awateua Hoyce Temu, Togolani Mavura Kuwa Mabalozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa mabolozi 23 ambao umeanza leo Mei 22,...

READ MORE

Dogo Janja Azindua Rasmi Album ya ‘Asante Mama’

NYOTA wa muziki wa Bongo Fleva, Abdulaaziz Chende almaarufu ‘Dogo Janja’ ameachia albamu yake iliyobeba jina la ‘Asante Mama’, ikiwa...

READ MORE

Jela Miaka 30 kwa Kubaka Mtoto Wake

MKAZI wa Kijiji cha Buchanchari wilayani hapa, Chegera Mayemba amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kubaka mtoto...

READ MORE

Jackline Asisitiza ‘Mzee Mengi Hakuwa Mwendawazimu’

MJANE wa Marehemu Reginald Mengi, Jackline Ntuyabaliwe ameonesha kutorodhika na uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuhusu wasimamizi wa mirathi...

READ MORE

Nabi Ashusha Presha Yanga, Atoa Kauli ya Kibabe

KOCHA Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia kuwa watarajie furaha...

READ MORE

Video: Waziri Mkuu Anazindua Kitabu Cha Mkakati Wa Usimamizi Wa Sensa

WAZIRI MKUU wa Tanzania, leo Mei 22, amezindua kitabu cha mkakati wa usimamizi na utekelezaji wa sensa ya watu na...

READ MORE

Zanzibar Yapokea Vifaa vya Corona

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yapokea msaada wa vifaa vya haraka vya kupimia COVID 19 aina ya Rapid Test, vyenye...

READ MORE

Simba Watamba ‘Hamtaamini’ Leo Uwanja wa Mkapa

MTASHANGAA na hamtaamini! Ndiyo maneno ambayo yatatumika leo pale Simba itakapokuwa ikiingia uwanjani kuwavaa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini katika...

READ MORE

MC Yamkuta Ukumbini Alipogundua EX Wake Ndo Bibi Harusi

KISANGA kimezuka katika harusi eneo la Mwatate, Taita Taveta nchini Kenya baada ya jamaa aliyekuwa akisherehesha sherehe ya harusi hiyo...

READ MORE

Matiko Avuruga Bunge Ishu ya Jeshi – Video

Mbunge Viti Maalum Chadema, Ester Matiko, ameitaka Serikali kuweka mazingira mazuri ya Jeshi kwa kuwapatia pesa za maendeleo kwa wakati...

READ MORE