×

Jumatano Tarehe 17 Ilivyoondoka na Viongozi 3 Mashuhuri Tanzania

  Jumatano ya tarehe 17 mwezi wa Februari na Machi mwaka 2021 hazitasahaulika masikioni mwa Watanzania ambao waliishuhudia Taifa likipoteza...

READ MORE

Simba, Yanga Wamlilia Magufuli

KILA kona Tanzania kilio! Hiyo ndiyo kauli ambayo unaweza kuisema kufuatia kada mbalimbali za Watanzania ikiwemo ya wanamichezo kuonyesha majonzi...

READ MORE

Tukio la Mwisho Alilofanya Rais Magufuli Kabla ya Kufariki Dunia

Februari 27, mwaka huu, ilikuwa siku ya mwisho kwa Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kuonekana hadharani ndivyo unavyoweza kusema....

READ MORE

Haya Ndo Maagizo ya Mwisho ya Rais Magufuli – Video

  Rais wa Tanzania John Magufuli amefariki dunia huku akiacha kumbukumbu ya maagizo mawili ya mwisho aliyotoa wakati wa ziara...

READ MORE

Rais Magufuli Alivyougua Mpaka Kufariki – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amefariki dunia Machi 17, 2021 katika Hospitali ya Mzena jijini...

READ MORE

#RIPMAGUFULI: Siku Za Mwisho Za Maisha Ya Rais Magufuli – Kumbukizi

 MAKAMU wa Rais, Mama Samia Suluhu, Leo Machi 17, 2021 ametangaza kifo cha Rais wa Jamhuri ya Tanzania, Dkt....

READ MORE

LIVE: Tanzania Yazizima,Vilio Kila Kona Kifo cha JPM

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

Katiba ya Tanzania Inasemaje Rais Akifariki Dunia?

Baada ya Rais wa Tanzania John Magufuli kufariki dunia, hakuna uchaguzi mwingine unaofanyika badala yake, Makamu wa Rais, Samia Suluhu...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Machi 18, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 18, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Mkazi wa Tanga Asepa na Lifan Cargo Ya Nmb

Benki ya NMB kupitia kampeni yake ya Bonge la Mpango imekabidhi zawadi ya pikipiki ya miguu mitatu aina ya Lifan...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Gazet la...

READ MORE

Breaking News: Rais Magufuli Afariki Dunia – Video

    BREAKING NEWS: RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli (61) amefariki dunia majira ya...

READ MORE

Polisi Dar Yageukia Biashara ya Binadamu

  Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam limeanza kuweka mikakati kwa kushirikiana na jamii kukomesha biashara ya binadamu inayoendelea...

READ MORE

Mwambusi Ageukia ‘Mchawi’ wa Sarpong

KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga, Juma Mwambusi ameamua kulifanyia kazi tatizo linalomfanya kutokufunga straika wa timu hiyo, Michael Sarpong kwa...

READ MORE

Mahakama Yavunja Ndoa Baada ya Wanandoa Kutengana Kwa Miaka 10

Mahakama ya Mwanzo Buguruni Jijini Dar es Salam leo Machi 17, 2021 imevunja ndoa ya Magreth Silaeli (37) Mkazi wa...

READ MORE

Live Tanga: Makamu Wa Rais Anahutubia Wananchi Muda Huu..

 MAKAMU wa Rais, Mama Samia Suluhu, ameendelea na ziara yake mkoani Tanga, Leo Machi 17 ikiwa ni siku ya...

READ MORE

Dude Apata Ajali Tatu

MSANII wa filamu Bongo Kulwa Kikumba maarufu kama Dude amesema mwaka jana 2020 haukuwa mwaka mzuri kwake kwani alipata ajali...

READ MORE

Namungo Kuwavaa Pyramids Leo

Kocha wa klabu ya Namungo, Hemed Suleiman Morocco amesema maandalizi ya mchezo wao dhidi ya klabu ya Pyramids ya nchini...

READ MORE

Poulsen Aukubali Mziki wa Nado, Fei Toto

LICHA ya kupoteza mchezo dhidi ya Kenya ‘Harambee Stars’ kwa mabao 2-1, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania,...

READ MORE

Waziri Aagiza Kushuka Kwa Ada Ya Kusajili Online Tv Na Blogs

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile ameitaka Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) kushusha ada za usajili wa...

READ MORE