×

Vita Ndani ya Uwanja Sasa Inazidi Kutia Mashaka

MZUNGUKO wa pili unaambiwa vita ni kila mahali inazunguka na inaishi kabisa mpaka unajiuliza mara mbilimbili hii ni vita kweli...

READ MORE

Simba Kupewa Pointi 3 za Al Merrikh Ipo Hivi

BAADA ya uongozi wa Simba kupitia kwa Mtendaji Mkuu, Barbara Gonzalez kuandika barua kwa Shirikisho la Soka Afrika, (Caf) kuomba...

READ MORE

Hassan Nassoro: Ninapiga Mashuti 30 Kila Siku

HASSAN Nasorro, kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Polisi Tanzania amesema kuwa amekuwa akifanya mazoezi ya kupiga mipira huru mara 30...

READ MORE

Mwambusi Akabidhiwa Yanga Mazima

IMEELEZWA kuwa Juma Mwambusi, Kaimu Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga atakiongoza kikosi hicho kwenye mechi zote ambazo zimebaki ndani...

READ MORE

Pele Amnyoshea Mikono Ronaldo, Avunja ‘Rekodi’ Yake

Gwiji wa zamani wa soka Pele amempongeza Cristiano Ronaldo baada ya mshambuliaji huyo wa Ureno kufunga mabao matatu(hat-trick) dhidi ya...

READ MORE

Shigongo Ashuhudia Kambi ya Wavuvi Ilivyotekea, Mmoja Afariki, Mamia Wapoteza Makazi

    Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe Eric Shigongo, amewatembelea wahanga wa moto kambi ya uvuvi ya Migongo iliyoko...

READ MORE

Wanne Mbaroni kwa Kusambaza ‘Uvumi wa Kuugua Rais Magufuli’

WATU wanne wamekamatwa katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania kwa madai ya kusambaza habari za uvumi kwenye mitandao ya kijamii kuwa...

READ MORE

🔴#FT: Kenya 2 – 1 Tanzania – Mechi ya Kirafiki

KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa kichapo cha mabao 2-1 mbele ya...

READ MORE

Museveni Amshutumu Bobi Wine Kuiba Kura

KWA mara ya kwanza Rais Yoweri Museveni wa Uganda amekituhumu chama cha siasa cha NUP kwa kuhusika na vitendo vya...

READ MORE

Simba Yatua AS Vita Kumsaka Beki Kitasa

BEKI wa kulia wa AS Vita, Djuma Shabani amekiri kuwa ni kweli alifuatwa na viongozi wa Simba ili kuangalia uwezekano...

READ MORE

Makamu wa Rais Samia Aanza Ziara Tanga

    Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kikazi ya...

READ MORE

Bobi Wine Akamatwa Polisi, Waandamanaji Wafyatuliwa Mabomu

MWANASIASA wa Uganda ambaye pia alikuwa mgombea urais wa chama cha upinzani Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine, amekamatwa katika...

READ MORE

Mafunzo ya Matumizi Salama ya Teknolojia ya Nyuklia Yatolewa Kitaifa

  Tume ya  Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) inaendesha mafunzo ya kitaifa juu ya matumizi salama ya teknolojia ya nyuklia...

READ MORE

Wawili Mbaroni kwa Kuzusha Viongozi Wagonjwa

JESHI  la Polisi mkoa Kilimanjaro limemkamata na kumshikilia Peter Pius Silayo (miaka 30), mkazi wa Tegeta Dar es Salaam aliyekamatwa...

READ MORE

Nafasi ya kazi NHC, Plumbing

POST ARTISAN II – PLUMBING – 1 POST POST CATEGORY(S) ENGINEERING AND CONSTRUCTION EMPLOYER National Housing Corporation(NHC) APPLICATION TIMELINE: 2021-03-04...

READ MORE

TuneCore Yaleta Neema kwa Wasanii Afrika Mashariki! 

KAMPUNI inayoongoza katika usambazaji wa muziki kidigitali na kukusanya mirabaha ya wasanii huru, TuneCore imezindua shughuli zake Afrika Mashariki na...

READ MORE

Museveni: Naendelea Kufikiria Chanjo Nzuri ya Kuchoma

Rais wa Uganda’ Yoweri Museveni amesema bado anaangalia ni chanjo ipi atakayochomwa, siku chache baada serikali yake kuanza kutoa chanjo...

READ MORE

Mama Samia: Rais Magufuli Anawasalimia Sana – Video

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mama Samia Suluhu Hassan amewatoa hofu Watanzania wote kutokana...

READ MORE

Kamati ya Bunge Viwanda na Biashara Yatembelea Kiwanda Cha Chai

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe, David Kienzile (Mb) ameongoza kamati ya kudumu...

READ MORE

Kocha huyu Kurithi Mikoba ya Kaze Yanga

HUBERT Velud, Raia wa Ufaransa inaelezwa kuwa yupo kwenye mazungumzo na baadhi ya mabosi wa Yanga wakiwa na mpango wa...

READ MORE