×

Kapo ya Mama Dangote Yazua Kasheshe!

Ama kweli Waswahili hawana jema! Hilo limethibitika usiku wa kuamkia Jumamosi baada ya baadhi ya mashambenga waliohudhuria onesho la Cheka...

READ MORE

Dereva Bodaboda Akatwa Shingo kwa Waya wa Umeme

DEREVA wa pikipiki katika kijiji cha Mgombasi wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma Kaimu Kinokwite (28) amekufa kwa kukatwa shingo na waya...

READ MORE

Walimu Wakatana Mapanga Wakigombania Penzi la Mwanafunzi

POLISI katika Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya wamemkamata mwalimu wa Shule ya Upili ya Wasichana ya Karoti baada ya kudaiwa...

READ MORE

Monalisa Atangazwa Kuwa Msemaji wa Simba

Machampioni watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara Simba Queens, wamemtangaza rasmi Msanii nguli wa filamu Bongo, Monalisa kuwa...

READ MORE

Kortini kwa Tuhuma za Kuwaajiri Wageni Bila Vibali

  Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika mahakama ya Wilaya Kinondoni jijini Dar es Salaam, kwa mashtaka manne likiwemo la kuwa ajiri...

READ MORE

Kolabo ya Kiba na Mondi Yanukia

Kuna vitu ambavyo ni nadra mno kusikia na kuamini kama siku moja vitatokea hasa kwa wasanii wa Bongo Fleva ambao...

READ MORE

Spika: Wafuasi 458 wa Bobi Wine Wamepotea

  CHAMA cha National Unity Platform (NUP) kimesema kwamba takriban raia 458 wa Uganda hawajulikani walipo wala hakuna taarifa zozote...

READ MORE

Kaka Wawili Wauana Baada ya Wake Zao Kuchapana Makonde

WENYEJI wa Kaniga Makome eneo bunge la Muhoroni, kaunti ya Kisumu nchini Kenya wameachwa midomo wazi kufuatia kisa kilichosababisha kaka...

READ MORE

Mapadri 25, Watawa 60 Wafariki Dunia Ndani ya Siku 60

KATIBU  mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima amesema zaidi ya mapadri 25, watawa zaidi ya...

READ MORE

Breaking: Rais Mwinyi Ateua Mawaziri

Rais wa Zanzibar Dkt.Mwinyi amemteua Dkt. Saada Mkuya Salum kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu kwa Kwanza wa Rais,...

READ MORE

Jembe la Kaze Larejea Kikosini Yanga

RASMI sasa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mburkinabe Yacouba Songne, atakuwa sehemu ya kikosi cha keshokutwa kitakachocheza na Coastal Union ya...

READ MORE

Mahakama Ubelgiji Yaamuru Jino la Lumumba Lirudishwe DRC

MAHAKAMA mjini Ubelgiji imeamuru kwamba jino lililochukuliwa kutoka kwa maiti ya shujaa wa Uhuru wa taifa la DRC wakati huo...

READ MORE

Mimi Mars: Vanessa Mdee Arudi Bongo Kuna Nini

Vanessa Mdee arudi bongo kuna nini, hilo ni jibu ambalo amelitoa msanii Mimi Mars baada ya kuulizwa kuhusiana na dada...

READ MORE

Kenya Yapokea Shehena ya Chanjo ya Covid-19

Shehena ya chanjo ya Covid-19, dozi milioni 1.02 za Oxford-AstraZeneca imetua katika uwanja wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi nchini Kenya,...

READ MORE

Kikongwe wa Miaka 77 Afia Kisimani

MZEE mmoja aliyefahamika kwa majina ya Joseph Rutabana mwenye umri wa miaka 77 mkazi wa kijiji cha Butairuka amepoteza maisha,...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi Ifakara Health Institute, Research Officer

Research Officer Job Summary Position: Research Officer – 1 post Reports To: Project Leader/ Principal Investigator (PI) Work station: Ifakara...

READ MORE

Shigongo, TARURA Wambana Mkandarasi Buchosa – Video

MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, ameambatana na Mratibu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA)...

READ MORE

Brazil: Watu 1,641 Wafariki kwa Corona Siku Moja

BRAZIL imerekodi idadi kubwa ya vifo vinavyotokana na ugonjwa wa Covid-19 kwa siku baada ya watu 1,641 kufariki kwa ugonjwa...

READ MORE

Gwiji wa Reggae, Swahiba wa Bob Marley Afariki Dunia

MWANAMUZIKI huyo, kutoka Kingston, Jamaica, alikuwa mmoja waanzilishi wa bendi ya The Wailers pamoja na rafiki yake wa utotoni, Bob...

READ MORE

Lulu: Majizzo Umenisugulisha Benchi

IKIWA ni muda mfupi baada ya CEO wa EFM na TVE, Francis Antony Ciza a.k.a Majizzo kuposti kwa mara ya...

READ MORE