×

Tengeneza Faida Kupitia Kasino Yenye Odd Bora Na Bonasi Kubwa!

Meridianbet Inakupatia Fursa Ya Kutengeneza Pesa Kila Unapojiunga na Kubashiri Nasi! Je, Umejiunga na Meridianbet? Unajua kwamba Meridianbet wanakupa ofa...

READ MORE

Papa Kutembelea Iraq Licha ya Hofu ya Usalama

PAPA Francis atasafiri kwenda Iraq leo Ijumaa katika ziara ya kwanza rasmi nchini humo na safari yake ya kwanza ya...

READ MORE

Rayvann Amuomba Msamaha Kajala

  MSANII Raymond Shaban Mwakyusa aka Rayvanny aliye chini ya label ya Wasafi Classic Baby (WCB) kupitia ukurasa wake wa...

READ MORE

Neymar Ajinasia Kidege Emilia Wa Argentina

NYOTA anayesakata kabumbu katika klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya nchini Ufaransa, Neymar da Silva Santos Júnior ‘Neymar’ (28), amepata...

READ MORE

Shigongo, Mollel Watua Hospitali ya Mwangika – Video

NAIBU Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel na Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, wamewatembelea wagonjwa katika Kituo...

READ MORE

Mobeto Agonga Mwamba Kumshitaki Kajala

LITIKISA kiberiti! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa wa Bongo Fleva na Mwanamitindo Hamisa Mobeto kushindwa kutimiza azma yake ya kumburuza...

READ MORE

Live: Nyungu Rasmi Muhimbili | ACT Na Mwelekeo Mpya Kisiasa | Front Page

 KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa...

READ MORE

ACT Wazalendo Yaanika Ilivyotofautiana na Membe – Video

  CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kutokana na uzoefu waliokuwa nao kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa, walikuwa hawaamini kama...

READ MORE

Kujifukiza Hospitali ya Muhimbili, Mloganzila Sh 5000 tu

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mloganzila zimefunga mashine nne  za kujifukiza. Wakati Muhimbili zikifungwa mashine tatu, Mloganzila imefungwa moja....

READ MORE

Sababu za Beki Mzimbabwe Kutocheza Simba Hizi Hapa

KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes, amesema amefurahishwa na uwezo mzuri aliouonesha beki wake wa kati, Peter Muduhwa raia wa...

READ MORE

CAF Yamchongea Luis Kwa Al Merrikh

UNAAMBIWA kitendo cha Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kulitaja bao la Luis Miquissone, kama bao bora la wiki katika Ligi...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Machi 5, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 5, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

ipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Mo Anunua Bao Sh 200 Mil

KATIKA kuwaongezea morali na hali ya kujituma katika mchezo wa tatu wa hatua ya makundi kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika,...

READ MORE

Jafo Azindua Magari 3 ya Huduma ya Tohara Mikoa Minne

WAZIRI wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI amezindua magari matatu yatakayotoa huduma ya Tohara katika mikoa minne ya kanda ya...

READ MORE

Wagosi wa Kaya Waicharaza Yanga Mkwakwani

VINARA wa ligi kuu bara Yanga leo Machi 4, wameshindwa kufurukuta katika dimba la mkwakwani jijini Tanga, baada ya kukubali...

READ MORE

Video: Global Habari Machi 04 – Rais Mwinyi Awaapisha Mawaziri Aliowateua

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpinduzi Dk.Hussein Mwinyi leo Machi 4,2021 amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateuwa hivi...

READ MORE

Mrembo Afanyiwa Upasuaji Zaidi Ya Mara 10, Aomba Msaada – Video

Hawa Hussein Ibrahim ni mama wa mtoto mmoja anayepitia changamoto nyingi za kiafya kwa kufanyiwa operesheni ya tumbo zaidi ya...

READ MORE

Wasiokula Kuku, Mayai Watahadharishwa Kuhusu Chanjo ya Corona

WATU wasiokula mayai na kuku wamepewa tahadhari dhidi ya kupewa chanjo ya Corona kwani inaweza kuwadhuru kwa njia mbali mbali...

READ MORE

Taharuki! Mamba Watoroka Wanapofugwa

Idadi isiyofahamika ya mamba wadogo hawajulikani walipo baada ya kutoroka katika shamba wanapofugwa eneo la Cape Magharibi Afrika Kusini Jumatano,...

READ MORE