×

Video: Mkurugenzi Wa Takukuru Azungumza Na Wanahabari Dsm

 MKURUGENZI wa Takukuru, Brigedia Jenerali John Mbung’o, leo Februari 27, amezungumza na wanahabari jijini Dar… ⚫️ Kwa UPDATES zote,...

READ MORE

Shigongo Apendekeza Buchosa Ipandishwe Hadhi Kuwa Wilaya Kamili

  MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo akiwa katika kikao Kamati Kuu ya Mkoa (RCC) ambapo amependekeza kupandishwa...

READ MORE

Kimenuka, Sibomana Naye Aipeleka Yanga Fifa

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Patrick Sibomana ameibuka na kudai yupo kwenye mpango wa kuifungulia mashitaka Klabu ya Yanga kwenye...

READ MORE

Gomes Ampa Mapumziko Maalum Luis Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Mfaransa Didier Gomes ametoa mapumziko ya siku nne kwa baadhi ya nyota wake akiwemo Luis Miquissone....

READ MORE

Nafasi Ya Kazi Bolt Tanzania, Business Development Manager

Business Development Manager We are looking for ​a Business Development Manager to join our team. You’ll be the face of Bolt for...

READ MORE

Wasichana Zaidi ya 300 Watekwa Nigeria

WASICHANA zaidi ya 300 wa shule ya sekondari, wametekwa nyara Februari 25, 2021,  na wanaume waliokuwa na silaha ambao hadi...

READ MORE

Nandy Featuring Koffi Olomide – Leo Leo (Official video)

 PISI kali kunako muziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’ Feb 26, 2021 ameachia video yake ya  LEO...

READ MORE

Tanzia: Jaji Samwel Karua Afariki Dunia

Familia ya Jaji Samuel Victor Gibson Karua Kwa masikitiko makubwa inawatangazia ndugu, jamaa na marafiki, Kifo cha mpendwa wao Jaji...

READ MORE

Kocha Simba: Mechi Ya Merrikh Itakuwa Ngumu Zaidi

MARA baada ya kuondoka kwa Kocha Mbelgiji Sven Vandenbroeck ndani ya kikosi cha Simba mambo yalionekana kuwa yatakuwa magumu kwa...

READ MORE

Nsong’wa Traditional Clinic; Mabingwa wa Kutibu Magonjwa kwa Tiba Asili

Nsong’wa Traditional Clinic, ni kituo kinachotoa matibabu ya asili kwa watu wenye matatizo mbalimbali, ambacho kina ofisi zake sehemu mbalimbali,...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Februari 27, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Februari 27, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi Kirahisi Zaidi Hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Gazet la...

READ MORE

Shigongo: Ukitaka Kuwa Salama, Shughulikia Kinga Yako ya Mwili

NI Jumamosi tulivu nikiwa naendelea na majukumu yangu ya kila siku. Moyo wangu umejawa na huzuni kutokana na vifo vya...

READ MORE

Amber Lulu: Pigeni Kelele, Nasubiri Kujifungua

  AMBER Lulu ni bonge moja la msanii wa Bongo Fleva ambaye alianza kama muuza sura (video queen) kwenye video....

READ MORE

Nandy Afanyiwa Hujuma Nzito

  PISI kali kunako muziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’, anadaiwa kufanyiwa hujuma nzito, IJUMAA WIKIENDA lina kisanga...

READ MORE

Breaking: JPM Amteua Dkt. Bashiru Kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

 Rais John Magufuli leo Februari 26, 2021 amemteua Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally kuwa Balozi, katibu mkuu kiongozi...

READ MORE

Mobeto Aungana na Sarah Kumkabili Kajala

MWANAMITINDO wa kimataifa na msanii wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto, anadaiwa kuungana na aliyekuwa mke wa msanii mwenzake, Rajab Abdul...

READ MORE

Kocha Simba Aigeukia Yanga, Ligi Kuu na Kombe la FA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mfaransa Didier Gomes ameweka kando maandalizi ya mchezo unaofuatia wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya...

READ MORE

Polisi Waliomuua Prude Waachiliwa Bila Hukumu Marekani

POLISI waliosababisha kifo cha raia mwenye asili ya Kiafrika, Daniel Prude, ambaye alizuiliwa uchi katika Jiji la New York, Marekani...

READ MORE