×

Ajali Basi la Coast Line, Watano Walazwa, 16 Waruhusiwa

WATU watano waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Nyerere, jana kutokana na ajali ya basi la kampuni ya Coast Line lililokuwa...

READ MORE

Poulsen Apewa Mikoba ya Ndayiragije Stars

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo Februari 15, limemteua Kim Poulsen, raia wa Denmark, kuwa kocha mkuu wa...

READ MORE

Wawili Wafariki kwa Kufukiwa Kifusi Kahama

WATU  wawili wamefariki dunia baada ya kuangukiwa kifusi  kwenye machimbo ya kijiji cha Mwime duara namba 11C kata ya Zongomela...

READ MORE

Yajue Majeshi Yenye Nguvu Zaidi Duniani

JARIDA la kimataifa la ‘Firepower’ ambalo huwa linalinganisha uwezo wa vikosi vya majeshi duniani kila mwaka , limetoa orodha ya...

READ MORE

Liberia Yatangaza Tahadhari Mlipuko wa Ebola

RAIS wa Liberia, George Weah,  ametangaza kuziweka mamlaka za afya za nchi hiyo katika kiwango cha juu cha tahadhari baada...

READ MORE

China Yagoma Kutoa Data za Covid-19 kwa WHO

  CHINA imekataa kutoa data muhimu kwa timu ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) inayochunguza asili ya Covid-19, ambapo mmoja...

READ MORE

Watumishi Waliohodhi Vizimba Soko Kuu Moro Yawakuta

WAFANYABIASHARA katika Soko la Chifu Kingalu wamelalamika kwa Rais John Magufuli kuwa wanauziwa vizimba kwa bei isiyo ya manispaa na...

READ MORE

Kajala Acha Uongo, Hili Litakuwa Fundisho – Mobeto

  MSANII wa Bongo Fleva na mwanamitindo, Hamisa Mobeto, amesema amechoshwa na baadhi ya watu kumlaumu na kumsingizia mambo ambayo...

READ MORE

Coca-Cola Kwanza Yazindua Tuzo za ‘Mwanamke Shujaa Excellence In Leadership 2021

Coca-Cola Kwanza Ltd, ambayo ni kampuni tanzu ya Coca-Cola Beverages Africa leo imetangaza kuzindua msimu mpya wa kampeni ya Mwanamke...

READ MORE

Serikali Yasaka Tril 1.029 Kodi ya Ardhi Moro

  OFISI ya Ardhi Mkoa wa Morogoro imeanza kuwabana wadaiwa wa kodi ya pango la ardhi kwa kuwafikisha wadaiwa sugu...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Februari 15, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Februari 15, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Gazet la...

READ MORE

Kajala Amtolea Povu Mobeto Kuhusu Paula

MSANII wa Bongo Muvi, Kajala Masanja, amechukizwa na kitendo cha msanii mwenzake, Hamisa Mobeto, kumchukua mtoto wa Kajala, Paula, na...

READ MORE

Ndugulile Atoa Maagizo Shirika la Posta

WAZIRI wa‌ ‌Mawasiliano‌ ‌na‌ ‌Teknolojia‌ ‌ya‌ ‌Habari‌ ‌‌ ‌Dkt.‌ ‌Faustine‌ ‌Ndugulile‌ ‌ameliagiza‌ ‌Shirika‌ ‌la‌ ‌Posta‌ ‌Tanzania‌ ‌(TPC)‌ ‌kuangalia‌ ‌upya‌ ‌muundo‌...

READ MORE

Odd One Out Kutoka Expanse Studio Kupitia Meridianbet Pekee

Sloti mpya kutoka Expanse Studio imepewa jina la Odd One Out, ni mchanganyiko wa mchezo wa zamani na mpya. Ingia...

READ MORE

Saido Nje Mwezi Mzima Yanga

NYOTA mpya kunako kikosi cha Yanga, Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ raia wa Burundi, imebainika kwamba atakaa nje ya dimba kwa takribani...

READ MORE

Harmonize Ft Anjella – All Night (Official Audio)

 MSANII wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa Lebo ya Konde Gang, Harmonize leo Feb 14, 2021 ameachia...

READ MORE

Rais wa Marekani Joe Biden Kulifunga Gereza la Guantanamo

Rais wa Marekani Joe Biden anataka kulifunga gereza la Guantanamo Bay linalotumiwa kuwashikilia washukiwa wa ugaidi. Biden antaka kulifunga gereza...

READ MORE

Simba Sc Walivyotua Dar Wakitokea DRC – Video

 Wachezaji na viongozi wa klabu ya Simba mchana wa leo Feb 14, 2021 wamefika salama Uwanja wa Ndege wa...

READ MORE