×

Nafasi za Kazi CRDB Bank , ATM & POS Technical support

  Job Purpose Responsible to provide pro-active, efficient and cost effective second level technical support to ensure highest ATM and...

READ MORE

Nmb Yatoa Misaada Wilaya Ya Kilwa Sekta Ya Afya Na Elimu

Benki ya NMB imetoa misaada kwa Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi katika sekta ya afya na elimu yenye jumla ya...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Uwazi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Uwazi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Novemba 24, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 24, 2020. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

TBS Yateketeza Vipodozi vya Milioni 125 Vyenye Viambata Sumu

Na Mwandishi wetu- Arusha Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza vipodozi  vyenye viambata sumu  vya thamani ya Shilingi milioni 125...

READ MORE

Umafia! Kaze, Ntibazonkiza Wamvuta Yanga Mrundi wa Simba

WAKATI wakiwa kwenye pilika za kumshusha beki wa kati wa Chipa United ya Afrika Kusini, Frederic Nsabiyumva, Simba wamekutana na...

READ MORE

RC Kunenge Akasirika Ujenzi Daraja la Ulongoni “A”

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge ameonyesha kutoridhishwa na kasi ya Mkandarasi wa kampuni ya CICO...

READ MORE

Promota wa Kiduku adaiwa kutapeli mabondia, polisi wamsaka

INAELEZWA promota wa pambano la ngumi za kulipwa kati ya Mtanzania, Twaha Kiduku na Sirimongkhon Lamthuam raia wa Thailand anatafutwa...

READ MORE

Caf Yaibadilishia Kambi Simba

SIMBA haitarudi tena jijini Dar es Salaam na badala yake itaendelea kupiga kambi mkoani Arusha kwa ajili ya maandalizi ya...

READ MORE

The Rock Agoma Jordan Kuwa Mwanaume Mwenye Mvuto Zaidi Duniani

Muigizaji Dwayne Johnson ‘The Rock’ kwa utani ameshindwa kukubali matokeo ya ushindi wa Michael B. Jordan kama Mwanaume mwenye mvuto...

READ MORE

Waliokufa Kwenye Maandamano Uganda Wafikia 45

Polisi nchini Uganda imesema kuwa idadi ya vifo vya vilivyotokea katika maandamano ya wiki iliyopita imeongezeka na kufikia watu 45....

READ MORE

Tuzo za AMA’s Nick Minaj Amgaragaza Card B

BADO taji la Umalkia wa Rap duniani analimiki Nicki Minaj, uthibitisho tumeupata usiku wa kuamkia leo ambapo zilitolewa tuzo za...

READ MORE

Zuma Kufunguliwa Kesi Mpya ya Jinai

RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma,  huenda akafunguliwa mashtaka ya jinai baada ya kukaidi amri ya mahakama kurejea...

READ MORE

Staa Atua Harusini na Mademu Zake 6 Wajawazito

  MSANII na mwanamitindo maarufu nchini Nigeria, Pretty Mike, aliibua gumzo kubwa katika jamii alipohudhuria harusi ya mwigizaji Williams Uchemba,...

READ MORE

Msuva: Nitakuwa Staa Wydad Casablanca

MCHEZAJI wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva aliyesajiliwa na Wydad Casablanca ya Morocco akitokea Difaa El Jadid, amesema kuwa anaamini...

READ MORE

Wanane Wapoteza Maisha Ajalini Kagera

WATU​ wanane​ wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya gari yenye namba za usajili T.471 DGC, Toyota Hiace inayofanya safari zake...

READ MORE

Beki wa Zamani Mamelodi Afariki Ajalini

BEKI wa zamani wa timu ya taifa ya Afrika Kusini na klabu ya Mamelodi Sundowns ya nchini humo, Anele Ngcongca...

READ MORE

Mabao ya Bocco Yaweka Rekodi

WAKATI juzi Jumamosi Simba ikiibuka na ushindi mnono wa mabao 0-7 dhidi ya Coastal Union, nahodha wa kikosi hicho, John...

READ MORE

Morrison apata mbabe wake

BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Simba, ambaye alisajiliwa kwa dili la miaka miwili baada ya kumalizana na Yanga, amepata mbabe...

READ MORE

Mbelgiji Simba Afunguka Sababu za Kumtema Mkude

KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck raia wa Ubelgiji, amefunguka chanzo cha kiungo wake mkabaji, Jonas Mkude kutokuwemo kwenye mechi...

READ MORE