×

Ahofiwa Kufariki Dunia Baada Ya Kufukiwa Na Kifusi 

Mtu Mmoja ahofiwa kufariki baada ya kufukiwa na kifusi wakati akifanya matengenezo katika shimo Mkoani Mara. Tukio hilo limetokea Agosti,...

READ MORE

Azam FC Yaachana na Kipa Mohamed Mustafa

Klabu ya Azam FC imeachana rasmi na kipa wake raia wa Sudan, Mohamed Mustafa, baada ya kufikia makubaliano ya pande...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yaripoti Ukuaji Imara Uliochagizwa Na Azma Yake Ya Kugusa Jamii Kwa Mwaka Wa Fedha 2025

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Vodacom Tanzania, David Tarimo (katikati), Mkurugenzi Mtendaji, Philip Besiimire (kushoto) na  Mkurugenzi wa Fedha, ...

READ MORE

Jaji Maarufu na Nyota wa Mitandao ya Kijamii, Frank Caprio Afariki Dunia

Dunia imepoteza alama ya haki yenye huruma. Jaji Frank Caprio, ambaye alijipatia umaarufu duniani kupitia kipindi chake cha televisheni Caught...

READ MORE

Dkt. Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao...

READ MORE

Meridianbet Yakuwekea Jamvi la Ushindi – Suka Bet Yako Leo!

Mechi za kufuzu Europa League na Conference League zinaendelea leo na zipo nyingi hivyo kazi ni kwako kuchagua nani atakupa...

READ MORE

Kamanda Muliro Avunja Ukimya Kaulimbiu Za Chadema ‘No Reform No Election’ Na CCM ‘Oktoba Tunatiki’ – Video

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amesema kuwa Jeshi la Polisi linafuatilia kwa makini kauli...

READ MORE

Polisi Mkoani Mara Washikilia Mlinzi wa Guard Force kwa Kumjeruhi Mwanafunzi

Jeshi la Polisi mkoani Mara linamshikilia Adili Matayo (31), mlinzi wa kampuni ya ulinzi ya Guard Force, kwa tuhuma za...

READ MORE

Wananchi Arusha Wapewa Elimu Kuhusu Matumizi Ya Nishati Safi Ya Kupikia Ya Umeme

Arusha, Tanzania,Wananchi wa Mkoa wa wamepewa elimu kuhusu Matumizi ya Nishati safi ya Kupikia Katika maonesho ya moja kwa moja...

READ MORE

Milionea Mpya Kutoka Meridianbet, Ashinda TZS 14,996,310.99/=

Katika ulimwengu wa kubashiri michezo, kila siku huleta fursa mpya za kushinda, lakini hadithi ya mshindi wa hivi karibuni wa...

READ MORE

Baharia wa Marekani Ahukumiwa kwa Ujasusi kwa Niaba ya China

Baharia wa Jeshi la Wanamaji la Marekani, Jinchao Wei (25), amehukumiwa nchini California kwa kosa la ujasusi baada ya kupatikana...

READ MORE

Mapumziko ya Shakira Ufukweni Yawavutia Mashabiki Duniani

Nyota wa muziki wa kimataifa, Shakira, ameonekana akijipumzisha na kutafuta utulivu wa kiroho kwenye ufukwe wa Los Cabos, Mexico, kabla...

READ MORE

Shekhe Kandauma: Haramu Itabaki Haramu Hadi Siku ya Kiama – Video

Kupitia kipindi cha Mapito cha Global TV, Shekhe Kandauma ameweka wazi msimamo wa Kiislamu kuhusu mambo yaliyo haramu, akisisitiza kuwa...

READ MORE

Afrika Yaongoza Dunia kwa Vifo vya Ajali za Barabarani, Sababu Kuu Zafichuliwa

Kanda ya Afrika inakabiliwa na changamoto kubwa za usalama barabarani, na ajali ni moja ya visababishi vikuu vya vifo na...

READ MORE

Simba Kuzindua Jezi Mpya kwa Tukio la Hadhi ya juu Agosti 27, 2025

UONGOZI wa Simba SC umetaja siku rasmi itakayokuwa ni maalumu kwa uzinduzi wa uzi mpya wa timu hiyo kuelekea msimu...

READ MORE

ACT Wazalendo Yajibu Pingamizi la Luhaga Mpina kwa Ofisi ya Msajili wa Vyama

Chama cha ACT Wazalendo kimewasilisha rasmi maelezo kwa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kikiweka wazi msimamo wake kuhusu...

READ MORE

CHADEMA Yapeleka Shauri Mahakamani Kupinga Maelekezo ya Msajili

Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Amani Golugwa, akiambatana na mawakili wa chama hicho,...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 21, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Oryx na Serikali Watangaza Uzinduzi wa Mfumo wa Usambazaji wa Gesi Soko la Samaki la Ferry

Dar es Salaam, 21 Agosti 2025: Kampuni ya ORYX Energies Tanzania kwa kushirikiana na Serikali na wadau wa soko, imetangaza...

READ MORE

NMB Benki Yatoa Elimu kwa Wafanyabiashara wa Dodoma Kupitia NMB Business Club

Benki ya NMB imeendelea kuimarisha uhusiano wake na wateja wa kibiashara kwa kutoa elimu na ufafanuzi kuhusu huduma na masuluhisho...

READ MORE