×

Uzinduzi Kampeni: Shigongo Apania Kuisimamisha Buchosa Septemba 24

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Buchosa mkoani Mwanza kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo James, anatarajia kuzindua rasmi kampeni...

READ MORE

Video Mpya: Zuchu Ft Diamond Platnumz – Cheche

  Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameshirikishwa kwenye wimbo mpya wa Zuhura Othuman ‘Zuchu’, unaoitwa ‘Cheche’....

READ MORE

Gwajima; Halima Mdee Njia Panda

JIMBO la Kawe linawaka moto hivi sasa kwa kampeni za kukata na shoka, kati ya mgombea wa Chama Cha Mapinduzi...

READ MORE

Mukoko, Waziri Junior ‘Waizamisha’ Mlandege 2-0 Chamanzi

TIMU ya yanga  Septemba 16, 2020 imecheza mechi  ya kirafiki  katika dimba la Azam Complex Chamazi ambapo   dhidi ya Mlandege...

READ MORE

Msigwa Aahidi Neema Iringa Mjini

Mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa amewaomba wananchi wa...

READ MORE

Nafasi za Kazi Tano Mazars Wiscon Associates, Audit Seniors

Mazars (Mazars Wiscon Associates) is an internationally integrated partnership, specialising in audit, accountancy, advisory, tax and legal services. Operating in...

READ MORE

Mabosi Yanga Wammwagia Carlinhos Noti

MABOSI wa Kampuni ya GSM ambao ni wadhamini wa Yanga wamefunguka kuwa watawamwagia fedha wachezaji wa kikosi hicho akiwemo Muangola...

READ MORE

Timu Tano Zamfuata Kagere Simba

WAKALAwa mchezaji Meddie Kagere wa Simba, Patrick Gakumba, amesema kuwa amepokea ofa tano za mteja wake huyo na kama hataendelea...

READ MORE

Kocha Simba Awapanga Mugalu, Bwalya First Eleven

KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck anatarajia kufanya mabadiliko makubwa ya wachezaji wake kuelekea kwenye mchezo wa wikiendi ijayo dhidi...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Septemba 17, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 17, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Tanzia: Baba wa Bill Gates Afariki Dunia

WILLIAM HENRY GATES II ambaye ni baba mzazi wa Bill Gates (mvumbuzi wa Microsoft) amefariki dunia siku ya Jumatatu, Septemba...

READ MORE

Said Fella Naye Azua Mafuriko Kilungule

MENEJA wa Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ Saidi Fella maarufu kama Mkubwa Fella, anayegombea Udiwani Kata ya...

READ MORE

Kanye West Akwama Kuwania Urais Marekani

NYOTA wa muziki wa hip-hop nchini Marekani, Kanye West, ameshindwa kufuzu kuwa mmoja kati ya wagombea wa urais katika mji...

READ MORE

Kizimbani Kuisababishia TRA Hasara ya Mil. 48

GEOFFREY KILIMBA amefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na makosa manne likiwemo la uhujumu uchumi kwa kuisababishia ...

READ MORE

Kortini Wakituhumiwa Kuendesha Biashara ya Madawa

WATU wanne wamepandisha kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi ikiwemo kosa la kuendesha...

READ MORE

EU Yalaani Kunyongwa kwa Bondia Navid

UMOJA wa Ulaya (EU) umeungana na jamii ya kimataifa kulaani mauaji ya kikatili dhidi ya mwanamasumbwi wa Iran, Navid Afkari....

READ MORE

Magufuli Asimulia Bashiru Alivyouza Ndizi

MGOMBA rais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) John Magufuli, amesema kuwa alizunguka nchi nzima kutafuta mtu ambaye anafaa kuwa Katibu...

READ MORE

Ibrah Ashukuru Harmonize Kwa Zawadi ya Gari -(Picha +Video)

Msanii anayetumikia Lebo ya Konde Gang iliyo chini ya mwanamuziki Harmonize, Ibraah, leo ametinga ndani ya +255 Global Radio na...

READ MORE