×

Safari ya Okwi Simba, Dili Limeiva

MSHAMBULIAJI Emanuel Okwi ambaye ni rafiki mzuri wa kufumania nyavu, unaweza kusema kuwa rasmi kwa mara nyingine anaelekea kuwa mali...

READ MORE

Nandy, Tanasha Watangaza Hali Ya Hatari

Mastaa wa kike wa muziki Afrika Mashariki, Faustina Charles ‘Nandy’ na Tanasha Oketch Donna, wametangaza hali ya hatari.   Tanasha...

READ MORE

Dkt. Tulia Aipongeza Benki ya CRDB Kupunguza Riba Ya Mikopo

Akitoa hotuba yake katika hafla ya uzinduzi wa “CRDB Malkia” iliyokuwa na kauli mbiu ya “Fanikisha Zaidi na CRDB Malkia”,...

READ MORE

Lissu Kurejea Nchini Mwisho wa Julai

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasika na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu, amesema atarejea Tanzania mwishoni mwa mwezi huu (Julai)...

READ MORE

Msuva Aongeza Mwaka Morocco

WINGA wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia klabu ya Difaa El Jadida inashiriki...

READ MORE

JPM Apongeza Mchango Wa Sekta Ya Fedha Kufikia Uchumi Wa Kati

Rais Magufuli ameipongeza Benki Kuu ya Tanzania, mabenki na sekta ya fedha kwa ujumla kwa mchango wao katika kuiwezesha Tanzania...

READ MORE

Serikali Imefuta Tozo 163 Kwa Wafanyabiashara

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema Serikali kupitia mpango wa maboresho ya mazingira ya biashara nchini (Blue Print) imefuta tozo 163...

READ MORE

Darleen Avunja Ukimya Ugomvi Na Mke Mwezake!

First Lady wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mwanahawa Abdul ‘Queen Darleen’, amevunja ukimya juu ya tuhuma za kuwa...

READ MORE

Tigo, Mdhamini Rasmi Wa Mawasiliano Sabasaba

Kampuni ya mawasiliano inayoongoza kwa kutoa huduma za kidigitali nchini, Tigo Tanzania, kwa mwaka wa tano mfululizo, inakuwa mdhamini mkuu...

READ MORE

Wanachama Wa PSSSF Watakiwa Kufika Ofisi za Mfuko Huo Kuhakiki Taarifa zao

    WANACHAMA wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) wametakiwa kufika kwenye ofisi za Mfuko...

READ MORE

Eymael: Simba Tulieni Dozi Yenu Ipo Tayari

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael ameibuka na kusema kuwa hana presha na Simba kuwafuata katika Hatua ya Nusu...

READ MORE

Sven: Nilikuwa Nawataka Yanga Kombe la FA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, amesema kuwa alikuwa anataka akutane na Yanga, ndiyo sababu ya kuwafunga wapinzani wao,...

READ MORE

Jpm Afanya Uteuzi wa RAS Simiyu

Rais Magufuli amemteua Mariam Perla Mmbaga kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi huo, Mmbaga alikuwa Mkurugenzi...

READ MORE

Lulu Diva: Corona Imetutia Akili Wasanii

STAA wa muziki wa Bongo Fleva ambaye anakimbiza na ngoma ya Come Again, Lulu Abas ‘Lulu Diva’, amefunguka kuwa janga...

READ MORE

TFF Yamrudisha Morrison Yanga

BAADA ya sekeseke la siku kadhaa kuhusu mshambuliaji wa Yanga, Bernard Morrison kutofautiana na klabu yake, habari ni kuwa mambo...

READ MORE

Kitawaka Mechi ya Juventus vs Lazio, Meridianbet Watoa Ofa

MSIMU wa soka unaendelea “daluga” zikishika moto taratibu. Mpambano wa kufurahisha zaidi ni kati ya mabingwa Juventus dhidi ya Lazio...

READ MORE

Mshindi Wa Baba Lao Kupewa Ndinga Lake Wiki Ijayo

DIDAS Marik, bingwa aliyelala masikini Jumanne na Jumatano akamka tajiri, kufuatia kushinda gari mpya kupitia bahati nasibu ya Baba Lao,...

READ MORE

Mkazi Dar Ashinda Gari la Droo ya Championi, Spoti Xtra -Video

HATIMAYE mkazi wa Dar es Salaam, Didas Marik (42), Julai 1, 2020 amefanikiwa kuibuka mshindi wa zawadi kubwa ya gari...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi Julai 4, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Julai 3, 2020 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nchi 20 Zenye Uchumi Mkubwa Zaidi Duniani

Kwa mujibu wa Pato la Jumla la Kitaifa (GDP) MIONGONI  mwa nchi 20 zenye uchumi mkubwa zaidi tangu mwaka 1980,...

READ MORE