×

Hukumu Kesi ya Trump Yatoka, Aachiliwa Huru

Kesi iliyokuwa inamkabili Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump imetolewa hukumu huku jaji aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo, akimuachilia huru bila...

READ MORE

TP Mazembe Yaaga Mashindano Ligi ya Mabingwa Afrika

TP Mazembe imeaga mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya MC Alger kwenye mchezo wa...

READ MORE

Malkia Karen Afunguka “Kabla Baba Hajafariki Nesi Alinizuia Nisiondoke Hospitali Niliumwa” – Video

MALKIA Karen ni msanii mwingine mkali wa kike kunako Bongo Fleva amefunguka kupitia kupitia kipindi cha Funky Friday kuwa licha...

READ MORE

Cheki Jumba La Kifahari La Staa Wa Movie Lilivyonusurika Kuteketea – Video

Nyumba ya kifahari ya dola milioni 26 sa na sawa na shilingi bilioni 65 za Kitanzania inayomilikiwa na muigizaji maarufu...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 11, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Makamu wa Rais Zanzibar Azindua Tawi la NMB Wete, Apokea Vifaatiba vya Mil. 12/-

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Hemedi Suleiman Abdulla, amezindua Tawi la NMB Wete,...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Majaji na Viongozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa majaji katika Mahakama ya rufani, wenyeviti wa...

READ MORE

Rais Mstaafu Kikwete Ashiriki Mikutano Kuhusu Uboreshaji wa Kilimo

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo ya Chakula Afrika (Africa Food Prize Committee) na...

READ MORE

Waziri Mkuu Awasili Uganda Kumwakilisha Rais Dkt. Samia Mkutano Wa Kilimo

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Januari 10, 2025 amewasili Kampala nchini Uganda ambapo kesho Januari 11, 2025 atamwakilisha Rais Dkt...

READ MORE

Jokate Awapa Tano Vijana Kwa Maandalizi Mazuri ya Mkutano Mkuu CCM

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM)Jokate Mwegelo amesema jumuiya hiyo imeridhishwa na kazi kubwa...

READ MORE

Anza Wikendi Yako na Meridianbet Leo, Bayer Leverkusen, Lazio Kukiwasha

Wikendi ndio hiyo imeanza ambapo ndani ya wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet nafasi ya wewe kuibuka bingwa ipo wazi kabisa....

READ MORE

Mbowe na Lissu Wakutana kwenye kikao cha Kamati Kuu Chadema – Picha

Viongozi mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo Januari 10, 2025 wamekutana kwenye kikao cha Kamati Kuu kinachofanyika...

READ MORE

Jumba La Kifahari La Kina Kardashians Nalo Hatarini Kuteketea Kwa Moto – Video

 Miji ya Calabasas na Hidden Hills, inayojulikana kwa kuwa makazi ya watu mashuhuri kama familia ya Kardashian, inakabiliwa na...

READ MORE

Kutana Na Brigedia Jenerali Wa Jeshi Mwenye Shepu Yake Aliyegeuza Mtizamo Kuhusu Wanawake Jeshini – Video

Jamani, si mara ya kwanza kusikia habari za wanajeshi, lakini mara nyingi picha inayojengeka vichwani ni ya watu wakakamavu, wenye...

READ MORE

Phina ft Harmonize – Bye Bye (Official Lyrics Video)

Mwimbaji na miongoni mwa vipaji vikubwa vinavyokua kwa kasi na kufanya vizuri kutoka Tanzania ‘Phina’ ameachia video ya ngoma yake...

READ MORE

Mahakama ya Juu Marekani Yakataa ombi la Trump la kusitisha hukumu dhidi yake

Mahakama ya Juu nchini Marekani imetupilia mbali ombi la Rais mteule Donald Trump la kusitisha hukumu dhidi yake hii leo...

READ MORE

Unataka Pesa Cheza kasino ya mtandaoni sloti ya Dream Catcher

Kama ulikuwa unadhani umeona vingi au kufanya vingi, basi sahau kabisa bado kuna vingi sana huvijui na leo nakusogezea mchongo...

READ MORE

Kamanda Muliro Athibitisha Dr Slaa Akamatwa – Video

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amethibitisha kukamatwa kwa Dk. Willibrod Peter Slaa, aliyekuwa Katibu...

READ MORE

Njia Rahisi ya Kupambana na Majambazi Wanaopora Mali za Watu Kwa Kutumia Nguvu

Kizaazaa kilizuka katika mtaa wa Mathare jijini Nairobi baada ya wanaume wiwili kuanza kula nyasi. wenyeji walifika eneo hilo kwa...

READ MORE

CMSA Yatoa Wito Kwa Benki Kutumia Fursa Zilizopo Katika Masoko ya Mitaji

Pichani kati ni Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Bwa.Emmanuel Tutuba akigonga kengele kuashiria kuorodheshwa kwa hisa stahiki za Benki...

READ MORE