×

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosi 5, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

“Ndoa za mama zetu zilitetereka, make-up hazikukaa usoni ksababu ya maji” – Aweso

Waziri wa Maji Jumaa Aweso akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa CCM Ifakara wilayani Ifakara mkoani...

READ MORE

Ana Ahidi, Ana Tekeleza, Maneno Kidogo, Vitendo Vingi

Katika ziara yake ya kihistoria mkoani Morogoro leo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,...

READ MORE

Balozi Nchimbi Atua Kigoma, Kutikisa Kanda ya Ziwa

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amewasili mkoani Kigoma tayari kuanza ziara ya mikoa mitano...

READ MORE

Wakazi wa Arusha Watakiwa Kuwa na Utamaduni wa Kufanya Mazoezi, Kupima Afya Zao

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mkoani Arusha Mhe. Felician Mtahengerwa amehimiza wakazi wa mkoa wa Arusha kuwa na utamaduni wa...

READ MORE

Tanzania Yamaliza Ngwe Ya Kwanza Ya Michezo Ya Olimpiki – Video

Muogeleaji chipukizi, Sophia Anisa Latiff  Agosti 3, 2024 ameingia bwawani na kutupa karata ya tatu ya Tanzania kwenye michuano ya...

READ MORE

Sheikh Kandauma Atoa Onyo Kwa Wanaomdhihaki Snura – Video

 MWANADADA Snura Anton Mushi ‘Snura’ aliongea kuhusu kuacha muziki, lakini pia amesema sio muziki tu bali hata filamu hatashiriki...

READ MORE

Iran: Haniyeh Aliuawa kwa Kombora la Masafa Mafupi

Jeshi la Iran Revolutionary Guard Corps (IRGC) limeishutumu Israel kwa kumuua mkuu wa kisiasa wa Hamas Ismail Haniyeh kwa kutumia...

READ MORE

Waziri Jerry Silaa Atangaza kuvunja bodi TTCL, TPC na UCSAF

Siku kadhaa tangu Rais Samia Suluhu Hassan atengue uteuzi wa wenyeviti wa bodi katika baadhi ya taasisi zilizo chini ya...

READ MORE

CCM Yaita Wanachama Wenye Sifa Kugombea Ubunge wa Afrika Mashariki

Chama Cha Mapinduzi kinapenda kuwajulisha wanachama wake wote, walio na nia na sifa za kuweza kugombea na kuchaguliwa kuwa Mbunge...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 4, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

TASAC Yajipanga Kuhudumia Wafanyabiashara, Diaspora Comoros

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limejipanga kutatua changamoto za wadau wanaotumia usafiri wa njia ya maji wanaosafirisha mizigo...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Azindua Miradi Muhimu Mkoani Morogoro

Jana Agosti 2, 2024, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alianza ziara ya kikazi...

READ MORE

Rais Samia Azindua Bwawa la Umwagiliaji Mtibwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kama ishara ya kuzindua Bwawa la...

READ MORE

Wakili Nkuba Atinga Mahakamani Kupinga Matokeo ya Urais wa TLS

ALIYEKUWA Mgombea urais wa Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS), Wakili Sweetbert Nkuba, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma mara...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Shirika La Uvuvi Tanzania (TAFICO)

On behalf of Tanzania Fisheries Corporation (TAFICO) Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) invites dynamic, proactive, experienced and suitable qualified Tanzanians...

READ MORE

MVP wa Ligi Kuu Aziz Ki Aeweka wazi kuwa hesabu kubwa ni Kubeba mataji

MVP wa Ligi Kuu Bara 2023/24, Aziz Ki ameweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kuona wanatwaa mataji ili kuendeleza furaha...

READ MORE

Bilioni 2 Kuimarisha Ulinzi Bwawa la Mindu Morogoro

Bwana la Mindu lililopo Manispaa ya Morogoro linategemewa kwa zaidi ya asilimia 70 ya wakazi wa Morogoro katika upatikanaji wa...

READ MORE

Dada Aacha Shule Ili Amuuguze Mama’ake – Atoa Somo Kubwa La Maisha – Video

Mariam Juma (24) mkazi wa Magomeni, Jijini Dar es salaam amefanya mahojiano na Global TV na kufunguka sababu za yeye...

READ MORE

Shabiki Simba Kisugu Afunguka Maandalizi ya Msimu mpya

Shabiki wa Klabu ya Simba Kisugu amefunguka maandalizi ya Msimu mpya wa Ligi Kuu ya Bara ambapo ameeleza kuwa endapo...

READ MORE