×

Video: Mtanzania Aliyekwama Na Kufariki Uturuki Azikwa Kimya Kimya Dar

Mwili wa marehemu Shufaa Kitwana umezikwa Mei 8, 2024 katika nyumba yake ya milele. Taarifa za kifo chake zilisambaa katika...

READ MORE

Kurasa za Magazeti ya leo Mei 8, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine.   Tunatoa zawadi...

READ MORE

UEFA MAMBO NI MOTO SANA

Hayawi hayawi sasa yamekuwa leo nii ni moto wa kuotea mbali kabisa ambapo timu mbili zinagombania kucheza Fainali ya ligi...

READ MORE

Wanafunzi 22, 131 wasajiliwa Vituo vya Elimu ya Watu Wazima

WANAFUNZI 22,131 WASAJILIWA VUTIO VYA ELIMU YA WATU WAZIMA Serikali imefanikiwa kusajili wanafunzi 22,131 wakiwemo wasichana 2,794 wa elimu ya...

READ MORE

Ukikatwa Usianze Nongwa Tulia

UKIKATWA USIANZE NONGWA TULIA   Katibu mkuu wa Jumuiya ya wazazi CCM Taifa Comred Ally Salum Hapi amewatahadharisha watu wenye...

READ MORE

Madereva Bodaboda 145 Jiji La Dodoma, Wamepatiwa Mafunzo Ya Usalama Barabarani Awamu Ya Pili

Madereva bodaboda 145 katika Jiji la Dodoma- wamepatiwa mafunzo ya usalama barabarani awamu ya pili yalioanza Aprili 15 Aprili na...

READ MORE

Benki ya NBC Yaingia Makubaliano na SILABU Kufikisha Elimu ya Fedha Majumbani

    Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji na kampuni ya SILABU APP inayotoa...

READ MORE

Katibu Mkuu Maganga Aipongeza WCF Kwa Utendaji Unaofuata Viwango Vya Kimataifa

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Bi. Mary Maganga ameupongeza Mfuko wa Fidia...

READ MORE

Trilion 1.15 Kujenga Shule Za Msingi Na Madarasa Mapya

Serikali imetenga jumla ya Shilingi Trillion 1.15 kwa ajili ya kujenga shule mpya za msingi na madarasa mapya kwa kipindi...

READ MORE

Profesa Kabudi: Hayati Nyerere Amefariki Ila Amegoma Kufa – Video

Mbunge wa Kilosa, Palamagamba Kabudi, ameshauri kuwa ndege kubwa ya Dreamliner iliyonunuliwa na inatarajiwa kufika nchini hivi karibuni ipewe jina...

READ MORE

Wakurugenzi Watakiwa Kusimamia Makusanyo Ya Halmashauri

Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini wametakiwa kusimamia makusanyo kupitia vyanzo mbalimbali vilivyo kwenye maeneo yao ili kuwezesha...

READ MORE

Bodaboda Apata Ajali Ya Kimauzauza, Abiria Aliyembeba Atoweka – Video

Kijana Razack anayeishi kwa kumlea mama na wadogo zake kwa shughuli ya kuendesha bodaboda yupo hoi kitandani baada ya kupata...

READ MORE

Rais Samia Ateua Kamishna wa Uhifadhi Ngorongoro na Mwenyekiti wa Bodi ya Maabara ya Mkemia Mkuu

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Elirehema Joshua Doriye kuwa Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro...

READ MORE

Shigongo Awashukuru viongozi wa dini kwa maombi ya Kimbunga Hidaya

Mbunge wa Buchosa kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo amewashukuru viongozi wote wa dini nchini, waumini na...

READ MORE

Thea – Sitaki Kupostiwa Nikifa, Nimekaa Miaka 20 Bila Kupata Mtoto

Msanii mkongwe kwenye tasnia ya uigizaji, Salome Ndumbagwe @thea ametoa tahadhari kuwa ikitokea amefariki, hataki kupostiwa na mtu yeyote ambaye...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Mei 7, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Miezi Mitatu Kazini Aongeza Mapato Kutoka Mil 59 Kwa Mwezi Hadi Mil 170

Halmashauri ya wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma imefanikiwa kuongeza kiwango cha ukusanyaji wa mapato kutoka wastani wa shilingi milioni hamsini...

READ MORE

Boniface Jacob, Malisa Wapandishwa Kisutu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewapandisha kizimbani Boniface Jacob na Godlisten Malisa wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kuchapisha na...

READ MORE

Mgao wa Shindano la Expanse Kasino Umeongezwa, Cheza kwa Kuanzia Tsh 400/=

Ukisikia Bosi kacheka ujue Maokoto yanafuatia, Kupitia promosheni pendwa ya Expanse iliyopo Meridianbet Kasino ya Mtandaoni unaweza kujishindia zawadi kibao,...

READ MORE

Idris Sultan Anogesha Msimu wa Tatu Wa Bridgerton

STAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha ujio mpya wa tamthiliya ya Bridgerton, katika onesho kabambe lililowakusanya...

READ MORE