×

Naibu Waziri Mwana FA ‘Anogesha’ Tamasha la Exim Bima Festival, Atoa Neno

  Dar es Salaam: Disemba 4, 2023: Naibu Waziri Wa Utamaduni, Sanaa Na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA), mwishoni mwa...

READ MORE

Kongamano la SHILO laanza kwa kasi

KANISA la Mlima wa Moto Mikocheni jijini Dar es Salaam, limezindua kongamano liitwalo SHILO kama sehemu ya kumuenzi mwanzilishi wa...

READ MORE

Mshindi Wa Kampeni Ya Maokoto Ndani Ya Kizibo Kibaha Alivyokabidhiwa Laki Tano Yake Laivu

Mshindi wa Kampeni ya Serengeti Lite ‘Maokoto Ndani ya Kizibo’ Kibaha mkoani Pwani, Advocatus Kakorozya, Jumamosi Desemba 2 mwaka huu...

READ MORE

Gwiji wa Tennis Duniani John McEnroe na familia yake wameungana na wadau wa utalii nchini kwa kushiriki chakula cha usiku

Gwiji wa Tennis Duniani John McEnroe usiku wa kuamia leo Desemba 3, 2023, yeye na familia yake na wadau wengine...

READ MORE

Manchester City Dhidi Ya Tottenham Mzigo Wakutosha Pale Meridianbet

Ulikua unaulizia mzigo wa kutosha sikiliza ni hivi mzigo ni kweli upo wa kutosha kama kaulimbiu ya Meridianbet inavyosema, Lakini...

READ MORE

Wachimbaji haramu wa madini 7 wathibitishwa kufariki na wengine zaidi ya 20 hawajulikani waliko

Washukiwa saba wachimba haramu wa madini walithibitishwa kufariki dunia na wengine zaidi ya 20 hawajulikani waliko na kudhaniwa wamekufa baada...

READ MORE

TASAC Yang’ara Tuzo Za NBAA Kushika Nafasi Ya Kwanza Kwa Mashirika ya Umma ya Udhibiti Uandaaji Bora wa Hesabu

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) yangara nafasi ya kwanza kwa Mashirika ya Umma ya Udhibiti katika uandaaji bora...

READ MORE

Mama Atokwa na Machozi Akiomba Kusadiwa Milioni moja Mtoto Wake afanyiwe upasuaji-Video

GLOBALJAMII wiki hii na Aisha haji (34) Mkazi wa Mpiji Magohe Jijini Dar es salaam ambaye anapitia katika kipindi kigumu...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumapili, Decemba 3, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Dec 3, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Yanga na Mabingwa wa kihistoria wa CAFCL, Al Ahly wametoshana nguvu kwa sare ya 1-1

Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania, Young Africans na Mabingwa wa kihistoria wa CAFCL, Al Ahly wametoshana nguvu kwa...

READ MORE

Mchengerwa Na Oryx Gas Wamuunga Mkono Rais Dk Samia Kwa Kugawa Bure Mitungi 900 Na Majiko Yake Kwa Mama Lishe

BAADA ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kuzindua Mpango wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa Wanawake wa Bara la...

READ MORE

SGA Yapata Tuzo Maalumu Ya Ulipaji Kodi Bora

SGA Guards (T) Ltd, kampuni ya ulinzi binafsi imepokea tuzo maalumu kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) baada ya kuibuka...

READ MORE

Makonda Amtembelea Askofu Dkt Malasusa, Amhakikishia Viongozi Wa Kiroho Kumwombea Rais Samia

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) Taifa, Ndugu Paul Christian Makonda amemtembelea Mkuu wa Kanisa la Kiinjili...

READ MORE

Fao La Huduma ya Utengamao Kuongeza Faraja: Prof. Ndalichako

SERIKALI kupitia Mfuko wa Fidia kwa Wafanmyakazi (WCF) imetangaza Fao jipya la Huduma ya Utengemao wa Kijamii (Social Rehabilitation) kwa...

READ MORE

Majaliwa aipongeza GGML mapambano dhidi ya Ukimwi, maambukizi mapya yashuka

NA MWANDISHI WETU Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na wadau wengine kwa...

READ MORE

Rais Samia Suluhu Azindua Programu ya Nishati safi ya Kupikia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia itakayosaidia...

READ MORE

Mkwanja Wa Kutosha Wikiendi Hii Na Meridianbet

Mikwanja inaendelea kumwagika kutoka Meridianbet kwani wikiendi hii itakua ni fursa ya kupiga mkwanja na Meridianbet kwani inakwenda kupigwa michezo...

READ MORE