×

NMB, ZIPA Zasaini Makubaliano ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar

KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuharakisha maendeleo ya kiuchumi, Benki ya NMB na Mamlaka...

READ MORE

Tantrade na TCCIA Zafungua Fursa za Soko Huru La Afrika (AfCFTA)

Leo tarehe leo 9 Mei, 2023  katika ofisi za TCCIA Kaimu Mkurugenzi Ukuzaji Biashara wa Mamlaka ya Maendeleo ya biashara...

READ MORE

Nafasi za Kazi 11 za Wahudumu wa Ndege Kutoka Job Junction Tanzania

FLIGHT ATTENDANTS (11) Details Business name : JOB JUNCTION TANZANIA Work Type : Full Time Years of Experience: 1 year...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Zamani wa Pakistan Imran Khan Akamatwa Nje ya Mahakama

Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan amekamatwa na maafisa wa kijeshi nje ya mahakama mjini Islamabad. Khan alikuwa...

READ MORE

Aviator ya Meridianbet Yampa Utajiri Mshindi wa Tsh Milioni 60,000,000/=

Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet kupitia mchezo pendwa Zaidi kwa majokeri Aviator/ kindege, umefanikiwa kumzawadia Mamilioni ya pesa bingwa huyo....

READ MORE

Yanga Yawashtukia Wasauz Wapewa Mchongo wa Kuimaliza mechi Dar

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, ameshtuka mapema baada ya kuwaambia washambuliaji wake, Fiston Mayele na Kennedy Musonda kuwa, wanapaswa...

READ MORE

Wavuvi Watatu Wafariki na Wengine Watatu Wanusurika Kifo Mkoa wa Geita

Wavuvi watatu wamefariki dunia na wengine watatu wamenusurika kifo baada ya mtumbwi waliokuwa wakiutumia kuvulia samaki kuingiliwa maji na kuzama...

READ MORE

Bosi wa Manchester City Atangaza Kikao Na Mastaa Wake Kufanya Uamuzi

BOSI wa Manchester City, Pep Guardiola, amesema atakaa na wachezaji wake kabla ya kufanya uamuzi ambao kwake anaona utakuwa sahihi....

READ MORE

SADC Yakubali Kupeleka Vikosi Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi Kusini mwa Afrika, SADC zimekubaliana kupeleka vikosi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo....

READ MORE

Waziri mkuu wa zamani wa Burundi azuiliwa jela kwa tuhuma za kuhatarisha usalama wa taifa

Waziri mkuu wa zamani wa Burundi mwenye ushawishi mkubwa Alain Guillaume Bunyoni alifikishwa mahakamani Jumatatu akituhumiwa kuhatarisha usalama wa taifa...

READ MORE

Magomeni Yamshukuru Awesu Baada ya Kufanya Jambo Hili

Aliyesema mpira wa Bongo kwa sasa unalipa ni kweli hakukosea, kwa kuwa wachezaji wengi wanapata madili na makampuni kama Meridianbet...

READ MORE

Sakata la Tanga Cement Kuuzwa, Chama Cha Walaji Chadai Hakikushirikishwa

  MKURUGENZI wa Chama cha Walaji Tanzania,Bernad Kihiyo, amesema kauli iliyotolewa bungeni kuwa wadau wote walishirikishwa na kuridhia suala la...

READ MORE

NMB Yakarabati Wodi ya Uzazi Muhimbili

Benki ya NMB imekarabati na kukabidhi wodi ya uzazi pamoja na vifaa tiba kwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Ukarabati...

READ MORE

Kampeni ya Upandaji Miti Yapamba Moto Kijiji cha Green Village Estate Bunju Mabwepande

  Naibu Kamishna na Mkurugenzi wa Uzalishaji Mbegu Bora za Miti na Vipando wa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS),...

READ MORE

Benki ya Absa Kuendelea Kudhamini Absa Dar City Marathon

BENKI ya Absa Tanzania imesema itaendelea kudhamini mbio za Absa Dar City Marathon ikiwa kama mdhanini mkuu kutokana na faida...

READ MORE

Kocha Msauzi Aipa Yanga Siri Kuwamaliza Marumo Keshokutwa Uwanja wa Mkapa

ALIYEWAHI kuwa Kocha Msaidizi wa Yanga na kocha wa viungo wa Mamelod Sundowns, raia wa Afrika Kusini, Riedoh Berdien amewatazama...

READ MORE

Mapigano ya Sudan: Mwanafunzi Afariki Akirekebisha Umeme Katika Zahanati ya Darfur

MWANAFUNZI mhandisi wa umeme mwenye umri wa miaka 27 amefariki akijaribu kurekebisha umeme katika hospitali iliyoathiriwa na mapigano katika jimbo...

READ MORE

Clatous Chama Kagawanyika Vipandevipande Simba

MWAMBA wa Lusaka, Clatous Chama ndani ya Simba akiwa ni kinara wa kutengeneza pasi za mwisho kagawanyika vipandevipande kutokana na...

READ MORE

Naibu Waziri wa Maliasili Masanja Atoa Maagizo kwa Wananchi Tarime

Serikali imewataka wananchi wilayani Tarime mkoani Mara kuheshimu maeneo ya hifadhi kwa kuacha kufanya shughuli za kibinadamu katika maeneo hayo....

READ MORE