×

Raila Odinga Atangaza Kusitisha Maandamano Atoa Nafasi ya Mashauriano

Hatimaye kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga wa chama cha ODM amesitisha maamndamano yaliopangwa kufanyika Jumatatu kama iliyokuwa ikitarajiwa....

READ MORE

Simba Kuangukia Kwa Vigogo Hawa Ligi ya Mabingwa Afrika

KESHOKUTWA Jumatano Simba iatafahamu ni nani ambaye watakutana naye kwenye robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika wakati ambao droo...

READ MORE

#Exclusive Video: Mtanzania Anayemiliki Kampuni Ya Ndege ‘Precision’ Afunguka Safari Yake Ya Mafanikio…

Mashirika ya ndege katika baadhi ya nchi za Afrika yamekuwa yakikabiliwa na changamoto mbalimbali za uendeshaji shughuli zake. Ungana na...

READ MORE

Raia wa Marekani aliyejiunga na ISIS nchini Syria apewa kifungo cha miaka 20 jela

Raia mmoja wa Marekani aliyehamia Syria pamoja na familia yake ili kujiunga la kundi la kigaidi la Islamic State amehukumiwa...

READ MORE

Binti Wa Nabii Geordavie Ahubiri Kwa Ujasiri Mbele Ya Baba Yake – Video

Binti WaMtumishi wa Mungu Nabii Gerodavie wa Arusha leo amesimama madabahuni katika kanisa linalosimamiwa na baba yake na kuhubiri kwa...

READ MORE

Khosi Aibuka Mshindi wa Big Brother Titans, Aondoka na Donge Nono la Milioni 233

Mashindano ya Big Brother Titans yamefikia mwisho usiku wa leo, Aprili 2, 2023 huku mwanadada Khosi kutoka Afrika Kusini akitangazwa...

READ MORE

Mashindano ya Kitaifa ya UCMAS 2023 Kuwajengea Wanafunzi Uwezo wa Hesabu Yatingisha

  KAMPUNI ya UCMAS inayosimamia Program ya Jumla ya Mfumo wa Hesabu za Akili, kwa mara ya pili leo imefanikisha...

READ MORE

Mayele, Aziz Ki Waongeza Mzuka Yanga leo Jumapili dhidi ya TP Mazembe

KUELEKEA mchezo wao wa leo Jumapili dhidi ya TP Mazembe unaotarajiwa kupigwa nchini DR Congo, uongozi wa Yanga umetamba kuwa...

READ MORE

Urusi Yatwaa Urais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Ukraine Watoa Tamko

Urusi imechukua kiti cha urais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa licha ya Ukraine kuwataka wanachama kuzuia hatua...

READ MORE

Hard Talk: Mchungaji Aliyegeuka Bubu Kwa Miezi Mitatu Kimiujiza Asimulia – Video

Katika #HardTalk ya Lilian Mwasha, yupo na Mchungaji Augustine Tendwa ambaye anasimulia mambo mengi kuhusu maisha yake ya uchungaji, likiwemo...

READ MORE

Mastaa Yanga Wala Kiapo dhidi ya TP Mazembe, Watoa Neno kwa GSM

KUFUATIA Bosi wa Yanga, Ghalib Said Mohammed (GSM) kusafiri na Yanga kwenda DR Congo kuishuhudia timu yake ikicheza dhidi ya...

READ MORE

CCM Yaitaka Serikali Kuwachukulia Hatua Waliotajwa Kwenye Ripoti Ya CAG,Takukuru Kufuja Mali Za Umma

Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Serikali kuwachukulia hatua kwa waliohusika kwenye ubadhirifu na matumizi mabaya ya...

READ MORE

Safiri Bure na Chapride Twende Tukamuabudu Mungu!

Fanya safari kwenda au kutoka kanisani, kwa safari isiyozidi shilingi 10,000, mlipe dereva na Chapride itakurudishia pesa yako kikamilifu. NB:...

READ MORE

Tamasha la Pasaka Latarajiwa Kuwa Na Ubora Wa Hali Ya Juu Mwaka Huu

Dar er Salaam: 1 Aprili 2023. Kuelekea Tamasha kubwa la Pasaka linalotarajiwa kufanyika katika Viwanja vya Leaders Club vilivyopo Kinondoni...

READ MORE

PASS Trust Yaelimisha Wadau Kuhusu Uhamasishaji Wa Ajenda Ya Ukuaji Wa Kijani Shirikishi Nchini

Singida, Machi 29.03.2023: Taasisi ya Kusaidia Sekta Binafsi ya Kilimo (PASS Trust) leo imefanya mkutano wa mashauriano na wadau mbalimbali...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mabadiliko Baraza la Mawaziri, Simbachawene, Mhagama Wabadilishana Wizara

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu,...

READ MORE

Wahitimu Chuo Cha Kufundisha Misingi ya Biblia ‘FBTC  Tanzania’Kulinda Maadili

Zaidi ya wahitimu 90 Chuo Cha Kufundisha Misingi ya Biblia (FBTC  Tanzania ) wametakiwa kuwa chachu ya maendeleo katika kuhakikisha...

READ MORE

Oscar Pistorius Arudishwa Gerezani Baada ya Kuomba Kuachiliwa

Bingwa wa Olimpiki ya Walemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius hakupewa msahama siku ya Ijumaa baada ya kuomba kuachiliwa mapema...

READ MORE

Georgina: Mimi Na Ronaldo Ni Wanandoa Machoni Pa Mungu… Adokeza Harusi Yao Hivi Karibuni

Georgina Rodriguez ametoa dokezo kubwa la harusi huku akidai yeye na Cristiano Ronaldo wamefunga ndoa mbele ya macho ya Mungu....

READ MORE

Kocha Mkuu wa Simba Awatega Musonda, Mayele Atoa Maagizo

KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ ametoa angalizo kubwa kwa mabeki wa timu hiyo kwa kuhakikisha wanaongeza umakini mkubwa...

READ MORE