×

Kocha Nabi Aweka Rekodi mpya Yanga Aziacha Mbali Simba na Azam

BAADA ya kikosi cha Yanga chini ya Kocha Nasreddine Nabi kugotea kwenye mechi 49 mfululizo kucheza bila kupoteza katika Ligi...

READ MORE

Jeshi la Marekani lamua Kiongozi wa Islamic State (ISIS) nchini Somalia

US MILITARY OPERATION-SOMALIA Jeshi la Marekani liliendesha operesheni ambayo ilimua afisa kiongozi wa kundi la Islamic State kaskazini mwa Somalia,...

READ MORE

Breaking: Mwili Wa Mtanzania Aliyefia Vitani Ukraine Wawasili Dar Ukitokea Urusi -Video

MWILI wa Raia wa Tanzania, Nemes Tarimo aliyefia vitani Ukraine wawasili nchini asubuhi ya leo Januari 27, 2022 ukitokea Urusi....

READ MORE

Meridianbet Yamwaga Ajira Temeke, Zaidi ya Watanzania 142 Wanufaika

ZAIDI ya watanzania 142 wamenufaika na ajira kupitia Meridianbet Tanzania, ikiwa ni moja ya ndoto ya kampuni hiyo inayotoa huduma...

READ MORE

Msanii Peter Msechu Awekewa Puto Tumboni katika Hospitali ya Mloganzila, Dar

MSANII Peter Msechu amekuwa miongoni mwa watu waliopatiwa matibabu ya kuwekewa puto tumboni (intragastric balloon) katika hospitali ya Mloganzila, Dar...

READ MORE

Dk Mwaka Afunguka – “Ndoa Yangu Haijavunjwa, Mufti Naomba Toa Tamko”- Video

Baada ya sakata la mke wa Dokta Mwaka kudai talaka kuchukua sura mpya hapo jana, Januari 25, 2023 na uamuzi...

READ MORE

Wapalestina Tisa Wauawa katika Uvamizi wa Israel huko Jenin

Wapalestina tisa, akiwemo mwanamke mzee, wameuawa katika uvamizi wa kijeshi wa Israel katika ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, maafisa...

READ MORE

Alichokifanya mbele ya Nabi… Mamadou Doumbia Gumzo Yanga

KAZI aliyopiga kwa siku chache alizofanya mazoezi na Yanga, kumemfanya Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe afungue...

READ MORE

Simba Yamtangaza Imani Kajula Kuwa Afisa Mtendaji Mkuu Mpya (CEO)

KLABU ya Simba leo Januari 26, 2023 imemtangaza Imani Kajula kuwa Mtendaji Mkuu (C.E.O), ambaye anachukua nafasi ya Barbara Gonzalez...

READ MORE

Meli ya Tanzania Yapinduka katika Bandari ya Assaluyeh Kusini mwa Iran

Meli ya mizigo ya Tanzania iitwayo Anil imepinduka katika bandari ya Assaluyeh Kusini mwa Iran Siku ya Jumanne, Januari 24...

READ MORE

Ishu ya Kocha wa Simba Roberto Oliveira, Maswali Ni Mengi Kuliko Majibu

“KOCHA Mkuu, Roberto Oliveira ameondoka usiku huu kwenda kwao Brazil kwa shughuli binafsi za kifamilia na anatarajiwa kurejea nchini mwishoni...

READ MORE

Marekani Kutuma vifaru 31 aina ya M1 Abrahams nchini Ukraine

Marekani imetangaza kuwa itatuma vifaru 31 aina ya M1 Abrahams nchini Ukraine, vinavyoelezewa na maafisa wa Marekani kuwa “bora zaidi...

READ MORE

Diamond Platnumz – Yatapita (Official Music Video)

Diamond Platnumz; ni supastaa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania ameachia video ya Yatapita.  

READ MORE

Staa wa PSG Kylian Mbappe Aweka Rekodi Ya Kipee Atupia Mabao Matano

STAA wa PSG, Kylian Mbappe juzi aliteuliwa kwa nahodha wa Paris Saint-Germain kwa mara ya kwanza kwenye mchezo Coupe de...

READ MORE

Mama wa Mwanafunzi Aliyechapwa Kinyama na Mwalimu Mkuu Afunguka – Video

 Tukio ni la kweli limetokea,tarehe 10.01.2023, ambapo Mwalimu huyo alipiga viboko wanafunzi zaidi ya mmoja, upigaji wake ndio ulioleta...

READ MORE

Parimatch Tech Yawa GR8 Tech

  Kampuni mpya ya teknolojia imeingia katika soko la kimataifa la iGaming B2B wiki hii: GR8 Tech. Kama mrithi wa...

READ MORE

Kila Mwanaume Aliyekuwa Akinichumbia, Alikuwa Ananiacha Kwenye Mataa

    Jina langu ni Melinda, naishi jijini Mwanza, ni mama wa mtoto mmoja ambaye niliolewa Machi mwaka jana nikiwa...

READ MORE

Uhakiki Laini za Simu Mwisho Februari 13, 2023 Waziri Nape Afunguka – Video

SERIKALI imeongeza siku 14 kwa Watanzania waliosajili laini zao za simu kuhakiki laini hizo kabla ya kufikia tarehe 13 Februari,...

READ MORE

Ripoti ya Mo Ibrahim Yasema Sehemu kubwa ya Afrika sio Salama

Ripoti ya taasisi yake iliyataja mapinduzi nane yaliyofanikiwa tangu mwaka 2019. Mali na nchi jirani ya Burkina Faso zimeshuhudia mawili...

READ MORE

Mshindi wa “Ndinga la Kishua” Kutoka Kahama, Akabidhiwa Gari Lake

Dar es Salaam, 26 Januari 2023:  Kampeni ya Ndinga la Kishua iliyoendeshwa na kuratibiwa na kampuni ya mawasiliano Tigo, leo imekabidhi...

READ MORE