×

Kocha wa Simba Atenga Programu ya Siku Mbili kwa Mastaa Akiwemo Baleke, Chama

KIKOSI cha Simba jana Jumanne kilirejea kambini baada ya mapumziko ya siku moja, huku Kocha Mkuu Mbrazili, Robert Olvieira ‘Robertinho’...

READ MORE

Kiungo Mrundi Gael Bigirimana Akubali Yaishe Yanga Avunja Mkataba, Atimka Kwao

MARA baada ya kufikia makubaliano mazuri ya kuvunja mkataba na timu yake ya Yanga, kiungo Mrundi Gael Bigirimana amekubali yaishe...

READ MORE

Mamia Wampokea Tundu Lissu Uwanja wa Ndege Dar, Polisi Waweka Ulinzi Mkali – Video

MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amewasili leo Januari 25, 2023 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...

READ MORE

Ushindi Mkubwa Na Gurudumu La Bahati Meridianbet Kasino! Shinda hadi mara 25000 ya dau lako na Crazy Time

Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet kwa kushirikiana na watengenezaji mahiri wa michezo ya kasino za mitandaoni...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya 37 Wapya, Wengine Awahamisha

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya Wapya 37, kuwahamisha vituo vya kazi wakuu wa wilaya 48...

READ MORE

Mwanamuziki Phina Asaini Rasmi Ziiki Media

  Mwimbaji na miongoni mwa vipaji vikubwa vinavyokua kwa kasi na kufanya vizuri kutoka Tanzania ‘Phina’ amejiunga rasmi na kampuni...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Awakabidhi Tuzo Washindi Wa Kiswahili Safal-Cornell Ya Fasihi Ya Afrika

Washindi wa Tuzo ya Kiswahili ya Safal-Cornell ya Fasihi ya Afrika kwa mwaka 2022 walituzwa na Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa,...

READ MORE

Waziri Dkt. Dorothy Gwajima Atembelea Benki ya Nmb, Ateta na Uongozi

  Benki ya NMB imepata nafasi ya kutembelewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalum...

READ MORE

Rais Samia Atengua Uteuzi wa Viongozi Watano kwa Mpigo

Taarifa iliyotolewa leo Januari 24, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imewataja waliotenguliwa kuwa ni Reuben...

READ MORE

Kocha wa Simba Roberto Oliveira ‘Robertinho’ Awachambua Baleke, Sawadogo

  KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazil, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema wachezaji wake wapya, Ismael Sawadogo na Jean Baleke, wamekosa fitinesi...

READ MORE

Vita vya Ukraine: Poland Yaiomba Ujerumani Ruhusa Kusafirisha vifaru hadi Ukraine

Poland imeiomba rasmi Ujerumani ruhusa ya kusafirisha vifaru vingi vya vita aina ya Leopard 2 kwenda Ukraine hatua ambayo inaibua...

READ MORE

Simba Queens ‘The Galacticos’… Ndani Ntiti, nje Ntiti Yatawala ligi ya Wanawake

KWA miaka takribani minne sasa, kwenye soka la Wanawake Tanzania, kuna klabu moja tu ambayo imejiweka kwenye ukurasa wake wa...

READ MORE

Bima Ya Afya Kwa Wote, Waziri Ummy Afunguka Watanzania Watakavyonufaika-Video

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema lengo la Bima ya Afya kwa Wote ni kuchangiana kwa gharama za matibabu kwa...

READ MORE

Waziri Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Mitano kwa Ufisadi, Wakili wake Afunguka

Mahakama kuu mjini Kigali imemhukumu aliyekuwa waziri wa utamaduni wa Rwanda kifungo cha miaka mitano jela kwa madai ya rushwa....

READ MORE

Utafiti Stadi za Maisha Na Maadili Kwa Vijana Kuzinduliwa Januari 26, Dar

  UTAFITI uliofanywa na Mradi wa ALiVE-Tanzania kupima stadi za maisha na maadili kwa vijana nchini Tanzania umebaini kuwa vijana wengi...

READ MORE

Mrembo Apigwa Kikatili Na Ex – Husband Nusu Kufa, Asimulia Kwa Uchungu… – Video

Mrembo aliyejitambulisha kwa jina la Doroth Msuya mwenye umri wa miaka 26 amedai kupigwa kikatili na mtu aliyedai ni mtalaka...

READ MORE

Simba Wazungumza Ujio Wa Al Hilal nchini Kucheza Februari 5 Uwanja wa Mkapa -Video

Klabu ya Al Hilal ya nchini Sudan kesho inatarajiwa kuja nchini kuweka kambi ya kujiandaa na michezo ya Ligi ya...

READ MORE

Afisa wa FBI Akamatwa kwa Kumfanyia Kazi kwa Siri tajiri wa Russia

AFISA mstaafu wa Idara ya uchunguzi ya Marekani (FBI) amekamatwa na kufunguliwa mashtaka mjini New York na Washington kwa tuhuma...

READ MORE

Kenya: Odinga Aendelea Kudai yeye Ndiye Mshindi halali wa Uchaguzi wa rais wa Agosti mwaka jana

Kinara wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga Jumatatu alisisitiza kuwa yeye ndiye mshindi halali wa uchaguzi wa mwaka jana, na...

READ MORE

Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi Kuanza Ziara yake Afrika Kusini leo

Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov anafanya ziara ya kwanza nje ya nchi tangu Urusi ilipoivamia Ukraine...

READ MORE