×

Mrembo Maarufu Kwenye Mitandao Poshy Queen Afunguka Kutumia Mil. 3 Kwa Siku

  Poshy Queen; ni mrembo maarufu kwenye mitandao ya kijamii (sosholaiti) nchini Tanzania ambaye naye ameibua gumzo kama lote.  ...

READ MORE

Majaliwa Atoa Siku 15 Mkandarasi Kukamilisha Barabara Ukerewe

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa siku 15 kuanzia leo Oktoba 20, 2022 kwa kampuni ya Inter Country Contractors kuhakikisha inakamilisha...

READ MORE

Injinia Hersi: Wachezaji Wametuapia Kuifunga Simba Kesho Kutwa Jumapili

WACHEZAJI wa Yanga kwa pamoja wamewaahidi viongozi wa timu hiyo, kupambana kwa dakika 90 ili kuhakikisha wanarejesha furaha ya mashabiki,...

READ MORE

Nafasi za Kazi United Nations at UNICEF Tanzania, National Consultant

Job no: 556267 Contract type: Consultant Duty Station: Zanzibar Level: Consultancy Location: United Republic of Tanzania Categories: WASH (Water, Sanitation...

READ MORE

GGML, Rafiki Surgical Mission Watoa ‘Ambulensi’ Mbili Geita

KATIKA kuimarisha mahusiano mazuri baina ya Serikali na jamii zinazoizunguka kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na Taasisi ya...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa, Oktoba 21, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 2 1 , 2022 Usipitwe...

READ MORE

Kasi ya Ukuaji NMB Ywakosha Wateja, Waongezeka Kwa Zaidi ya Asilimia 500 – Babati

Mbali na huduma za viwango vya kifalme, wateja wa Benki ya NMB wamekiri kuvutiwa  na mafanikio yake kiutendaji hasa kasi...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi na Ijumaa leo Oct-14,   Gazeti la Championihttps://bit.ly/3ebG9xV Gazeti la Ijumaahttps://bit.ly/3V9byln . Twende...

READ MORE

Kuelekea Kariakoo Dabi.. Nabi Asuka Mikakati Mipya Yanga, Aanza Na Gym

JESHI lote la Yanga juzi Jumatatu jioni liliingia kambini tayari kwa ajili ya mchezo wa Kariakoo Dabi huku Kocha Mkuu...

READ MORE

Watu 11 Wakamatwa Kwenye Maandamano Nchini Ufaransa

WATU 11 wamekamatwa na Polisi wa Ufaransa katika maandamano ya maelfu ya watu wakipinga mfumuko wa bei, ongezeko la bei...

READ MORE

Teknolojia Mpya ya Kununua Gesi ya Kupikia kwa Kutumia Simu ya Mkononi

  KAMPUNI ya Puma Energy Tanzania, mapema leo imezindua mitungi mipya ya gesi yenye ujazo tofauti huku ikizingatia zaidi hali...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Uingereza Ajiuzulu Baada ya Kukaa Madarakani Siku 44

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Liz Truss amejiuzuu wadhifa wake kama kiongozi mkuu wa Chama cha Conservative na Waziri Mkuu wa...

READ MORE

Rais wa Heshima wa Simba ‘Mo’ Aimaliza Yanga kwa 500M Jumapili hii Kwa Mkapa

  KUELEKEA kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi, Rais wa Heshima wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’, ameahidi zaidi ya Sh 500Mil...

READ MORE

Kilimanjaro Premium Lager Marathon Yazinduliwa  Dar

    MBIO za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon kwa mwaka 2023 zimezinduliwa jijini Dar es Salaam leo tayari...

READ MORE

Muigizaji wa Filamu ya Moon Knight Aongea na Marvel Kuhusu Kurudi Kwake

MSANII wa maigizo Oscar Isaac aliyechaguliwa kufanya katika filamu ya Moon Knight msimu wake wa kwanza kwa sasa yupo katika...

READ MORE

Maisha ya Kusikitisha ya Tracy Edward Mtu Pekee Aliyenusurika Kuuawa na Jeffrey Dahmer

TRACY EDWARD ni mtu pekee aliyefanikiwa kumtoroka muuaji Jeffrey Dahmer na kuwasaidia Polisi kumkamata baada ya kukutwa mtaani akikimbia na...

READ MORE

Mshambuliaji wa Simba Moses Phiri Atoa Kauli ya Kibabe Ligi ya Mabingwa Afrika

  MSHAMBULIAJI wa Simba, Moses Phiri amesema kuwa kwa sasa akili yake inawaza kusaidia Simba kuweza kufika mbali zaidi kwenye...

READ MORE

Siri Yafichuka Kilichomfanya Benzema Afanikiwe Kuchukua Ballon D’ Or

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Real Madrid, Karim Mostafa Benzema ana majeraha katika kidole cha mwisho cha kulia chake kwa takribani...

READ MORE

Zari The Boss Lady Acharuka Avunja Mkataba na Hoteli ya Uganda, Kisa Mpiga Picha

  Zari The Boss Lady ; ni mwanamama tajiri Afrika Mashariki na baby mama wa staa mkubwa wa muziki nchini...

READ MORE