×

Mayele Aibuka Kidedea Afrika, Atangazwa Mchezaji Bora Mbele ya Boulaye Dia raia wa Senegal

MSHAMBULIAJI wa Yanga SC, Fiston Mayele, amechaguliwa na mashabiki kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Septemba, mwaka huu, baada ya kupigiwa...

READ MORE

Waziri Mkenda Akerwa Kusuasua Ujenzi VETA Simiyu, Atoa Maagizo haraka

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda (Mb) amekerwa na kusuasua kwa ujenzi wa chuo cha ufundi...

READ MORE

Siri Diamond Kununua Jumba la Kifahari Jirani na Zari Yafichuka

Diamond Platnumz; ni supastaa wa muziki nchini Tanzania ambaye Oktoba 4, 2022, kwa mara ya kwanza alionesha jumba lake la...

READ MORE

Kocha wa Yanga: Mashabiki Tulieni, Kazi Haijaisha, Tunaenda Kuwashangaza Kwao

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, ana kibarua cha kwenda ugenini kusaka ushindi dhidi ya Al Hilal baada ya mchezo...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili, Oktoba 9, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 9 , 2022 Usipitwe na...

READ MORE

SBL Yaungana na Wateja Kuleta Captain Morgan Gold Tanzania

    Dar es Salaam, 8th October – Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) na walaji wa vinywaji vikali wajumuika...

READ MORE

Bodi ya Taifa ya Wahasibu, Wakaguzi wa Hesabu Kusherehekea Siku ya Uhasibu Duniani Novemba 10

  BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA),  imeandaa maonesho ya huduma za kihasibu ikiwa sehemu ya...

READ MORE

Ujenzi Chuo Cha Ufundi VETA Kugharimu Zaidi ya Bil 5, Waziri wa Elimu Aeleza

Serikali inakamilisha ujenzi wa Chuo cha Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VET) cha Mkoa wa Simiyu ambacho kinajengwa kwa...

READ MORE

DCB Yaendelea Kung’ara Ikiadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja

Benki ya Biashara ya DCB imeendelea kung’ara wakati ikiadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa mwaka huu huku ikianisha baadhi...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya *Gazeti la SpotiXtra* leo Octo-09  Kwa nusu bei tu   Gazeti la Spoti Xtra*https://bit.ly/3d8qcYV AU *SpotiXtra*https://bit.ly/3d8qcYV...

READ MORE

Serikali Yatumia Bil 1 Kukarabati Chuo Cha Ualimu Butimba Mwanza

Serikali imetumia Shilingi Bilioni 1 kwa ajili ya kukarabati na kuongeza miundombinu ya elimu ya Chuo cha Ualimu Butimba kilichopo...

READ MORE

Maswali Matano Mazito Yaibuka Katibu wa Masanja Kujinyonga Dar

Tukio la Katibu wa Kanisa la Feel Free Church la nchini Tanzania linaoongozwa na Mchungaji Emmanuel Mgaya almaarufu Masanja Mkandamizaji...

READ MORE

Waziri Mkenda Ataka Chuo Cha DIT Kuongeza Mafunzo

    Serikali imeitaka Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Saalam (DIT) kuhakikisha kuwa inaongeza ufundishaji kwenye ujuzi wa bidhaa...

READ MORE

Mtoto wa Hamisa Mobeto Ampa Laana Diamond Platnumz… Kisa Kipo Hapa

Dyllan; ni mtoto wa mastaa wawili wakubwa nchini Tanzania, Diamond Platnumz na Hamisa Mobeto ambaye anadaiwa kumpa laana baba yake...

READ MORE

Serikali Yaendelea Kurahisisha Utoaji Wa Hati za Viwanja Kwa Njia Ya Kidijitali

  Kamishina wa Ardhi Msaidizi mkoa Dar es salaam Bw. Idrisa Kayera ameshiriki Clinic ya Ardhi Segerea na kutoa hati...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi, Oktoba 8, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 8 , 2022 Usipitwe na...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi leo Oct-08, Kwa nusu bei tu   Gazeti la Championihttps://bit.ly/3M4GO0G AU Championihttps://bit.ly/3M4GO0G ....

READ MORE

Al Hilal Kesho Hamchomoki kwa Mkapa… Matajiri Yanga Wavamia Kambini

KAMATI ya Mashindano ya Yanga, leo Ijumaa usiku imepanga kufanya kikao kizito sambamba na kula chakula cha usiku na wachezaji...

READ MORE

WHO: Afrika ina Kiwango Cha Juu Watu Wanaojitoa Uhai duniani

Shirika la Afya Duniani linasema Afrika ina kiwango kikubwa zaidi cha watu wanaojiua, Shirika hilo sasa limezindua kampeni ya mitandao...

READ MORE

Zamalek Wagoma Kuja Dar Walipia Gharama Zote Mechi Kupigwa Cairo

IMEELEZWA kuwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika kati ya Flambeau du Centre ya Burundi dhidi ya Mabingwa wa...

READ MORE