×

Ten Hag Awawashia Moto Sancho na Malacia, Aoneshwa Kutofurahishwa na Kiwango Chao

KOCHA wa Manchester United Erik Ten Hag amewajia juu wachezaji wake wawili Jadon Sancho pamoja na Tyrell Malacia kutokana na...

READ MORE

Biden Aitahadharisha Dunia Juu ya Matumizi ya Nyuklia, Adai Putin Hatanii

RAIS wa Marekani Joe Biden ameitahadharisha dunia ikiwemo Umoja wa Ulaya pamoja na Marekani kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin...

READ MORE

Singida, Prisons Zafungiwa Kusajili Kwa Kipindi cha Dirisha Moja … Kisa Kipo Hapa

Klabu za Tanzania Prisons na Singida Big Stars zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, zimepigwa rungu la kutofanya usajili kwa kipindi...

READ MORE

Simba Yapangua Fitina, Yagoma Kulala Angola Kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika

UONGOZI wa Simba umeendelea kutengua fitina zote walizoandaliwa na wapinzani wao Primeiro De Agosto ya Angola kwenye Ligi ya Mabingwa...

READ MORE

PSSSF Kuimarisha Uhusiano na Global Group, Yaadhimia Kutoa Elimu ya Mfuko

MENEJA Uhusiano na Elimu kwa Umma wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Ndugu James Mloe,...

READ MORE

Mechi za Ushindi Kwenye Meridianbet Wiki Hii, Weka Utabiri Wako

Ni muendelezo wa Ligi mbalimbali wikiendi hii, kwenye Epl Chelsea watarudi uwanjani kukipiga na Wolves siku ya Jumamosi kwenye dimba...

READ MORE

Haji Manara Ajiachia Kiwanja na Wake Zake Wawili Awapa Pongezi

Haji Manara ameshea picha akiwa na wake zake wawili hotelini na kusema kuwa ni siku kubwa sana kula chakula na...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi na Ijumaa leo Oct-07, Gazeti la Championi👉https://bit.ly/3ebG9xV Gazeti la Ijumaa👉https://bit.ly/3V9byln . 👇 Twende...

READ MORE

GGML Wadhamini Mkutano Mkuu Wawanajiolojia Arusha

Katika kuunga mkono ukuaji wa fani mbalimbalinchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imejitosa kudhamini mkutano mkuu wamwaka wa wanajiolojia wa Tanzania unaofanyika mkoani Arusha. Mkutano huo ambao umeanza tarehe 4 Oktobaunatarajiwa kumalizika tarehe 7 Oktoba mwakahuu na unaratibiwa na Chama cha Watalaamwa Jiolojia Tanzania (TGS) kinachokadiriwakuwa na wanachama zaidi ya 300.   Akizungumza na Mwandishi wetu, Mrakibu waJiolojia katika Kampuni ya GGML, Eric Kalondwa alisema kampuni ya GGML imetoashilingi milioni 25 za Kitanzania kudhaminimkutano huo uliofunguliwa na Waziri waMadini, Dk. Dotto Biteko kwa niaba ya Makamuwa Rais, Dkt. Philip Mpango lakini unatarajiwakufungwa na Waziri wa Maji, Juma Aweso.   Alisema katika mkutano huo ambao hufanyikakila mwaka kwenye mikoa tofauti tofauti, jumlaya wanajiolojia 11 kutoka mkoani...

READ MORE

Nafasi ya Kazi WaterAid International, Senior Communications Manager

Senior Communications Manager – Advocacy Permanent, Full – Time Salary: UK, London (Hybrid): Grade 3 – £42,870 – £51,400 Senegal,...

READ MORE

Halotel Yasherehekea Miaka 7 ya Utoaji Huduma za Mawasiliano Kwa Kuchangia Damu

  Kampuni ya simu ya Halotel na wafanyakazi wake leo wameshiriki katika zoezi la kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya...

READ MORE

Waangola Wameisha… Simba Yakodi Dege la Kishua, Watatu Waachwa Dar

KATIKA kuhakikisha wanategua mitego yote ya fitina za nje ya uwanja na kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa...

READ MORE

Bibi wa Miaka 65 Auawa kwa Kung’atwa na Mbwa Watano

BIBI mwenye umri wa miaka 65, Ann Dunn ambaye ni raia wa Marekani ameshambuliwa na mbwa watano ambao walimng’ata na...

READ MORE

Watu 34 Wauawa Katika Shambulizi Lililotokea Shule ya Chekechea

WATU 34 wameuawa leo katika shambulizi la kutumia bunduki na kisu lililotokea katika shule ya chekechea nchini Thailand.   Taarifa...

READ MORE

Safari ya Afrika Yamsaidia Lewis Hamilton Kujihisi Amani, Azigusia Tanzania, Kenya na Namibia

BINGWA wa mashindano ya magari ya formula 1 Lewis Hamilton ambaye ana rekodi ya kuchukua ubingwa wa Dunia mara saba...

READ MORE

Guardiola Atoa Ufafanuzi Ishu ya Haaland Kujiunga na Real Madrid

KOCHA Mkuu wa Manchester City raia wa Hispania Pep Guardiola mara baada ya mchezo wa Ligi ya Mbingwa dhidi ya...

READ MORE

Bosi Gor Mahia Akiri Kuwa ni Freemason, Taharuki Yatanda Juu ya Hatma Yake

MWENYEKITI wa Gor Mahia, Ambrose Dickens Otieno Amollo Rachier ameanza kuandamwa na shinikizo zinazomtaka ajiuzulu baada ya kukiri hadharani kuwa...

READ MORE

TRA Yaonya Waliyobandika Namba Kwenye Magari Yao Ambazo Hazijatolewa na TRA ama Taasisi za Serikali

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema imebaini uwepo wa magari barabarani yaliyobandikwa na kutumia namba ambazo hazijatolewa na TRA ama...

READ MORE

Al Hilal Hawatoboi… Mabosi Yanga Wapiga Kambi Sudan Kuzuia Hujuma

BAADHI ya mabosi wa Yanga wamepanga kusafiri kuelekea nchini Sudan siku tatu kabla ya mchezo wao wa Kwanza wa Ligi...

READ MORE

Wanafunzi Zaidi ya Milioni Mbili Wakosa Kwenda Shule Nchini Sudan

NCHI ya Sudan imekuwa ikipitia majanga mbali mbali kama vile mafuriko, uvamizi wa kivita na njaa kiujumla na hii kupelekea...

READ MORE