×

Bei ya Mafuta Tanzania Yazidi Kushuka Wananchi Wachekelea

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei mpya za mafuta kuanzia leo Oktoba 5 zimeshuka...

READ MORE

Akiba Commercial Bank Washerehekea Maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja

    5.Oktoba.2022: Dar es Salaam; Benki ya Akiba Commercial Bank washerekea wiki ya  huduma kwa wateja katika matawi yao mbalimbali toka kuanzishwa kwa benki hiyo miaka 25 iliyopita.   Akizungumza katika kusherekea wiki hiyo ya huduma kwa wateja Mkurungezi Mtendaji bwana Silvest Arumasi...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi leo Oct-05, Kwa nusu bei tu Gazeti la Championi👉https://bit.ly/3M4GO0G AU Championi👉https://bit.ly/3M4GO0G . 👇...

READ MORE

Waziri Mchengerwa Atembelea Klabu ya Fenerbahche ya Nchini Uturuki

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametembelea moja ya klabu kongwe na mashuhuri duniani, Fenerbahche ya Uturuki,...

READ MORE

Waziri Ummy Mwalimu Awatoa Hofu Watanzania Kuhusu Ebola

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amewatoa hofu Watanzania kuhusu Ugonjwa wa Ebola uliopo nchi jirani na kuwataka waendelee kuchukua...

READ MORE

Polisi Yafafanua Tukio la Mke wa Masanja na Katibu wa Kanisa

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lisema uchunguzi wa awali wa Polisi kuhusu tukio la Katibu wa...

READ MORE

Tunaenda Ligi ya Mabingwa Kushindana Siyo Kushiriki Tu – Kocha Mpya Simba Queens

KOCHA mpya wa Simba Queens, Charles Ayiekoh Mbuzi amefunguka mambo mengi na Global Publishers mara tu baada ya kujiunga na...

READ MORE

Babu Tale Kuwalipia Tiketi za Ndege Wasanii Waliotajwa Tuzo za Afrimma

MBUNGE wa Morogoro Mashariki na Meneja wa Wasanii wa muziki chini ya lebo ya WCB, Hamisi Taletale ameainisha dhamira yake...

READ MORE

Zifahamu Nchi Zenye Watu Wengi Zaidi Duniani, Tanzania Imo

HAISHANGAZI sana kuona kuwa nchi kubwa zaidi ulimwenguni ndio nchi zinazoongoza kwa idadi ya watu wengi zaidi duniani, mataifa kama...

READ MORE

Mke Aliyekufa Ajalini Akimfukuza Mume na Mchepuko, Mumewe Naye Afariki

WIKI mbili zilizopita kulikuwa na habari za tanzia kuhusu mwanamke mmoja aliyefariki dunia katika ajali ya barabara alipokuwa akimkimbiza mumewe,...

READ MORE

Ronaldo Ajiandaa Kutimka Old Trafford Dirisha Dogo la Usajili, Ten Hag Abariki

NYOTA wa soka wa klabu ya Manchester United ya nchini Uingereza Cristiano Ronaldo anajiandaa kutimka klabuni hapo majira ya usajili...

READ MORE

Ali Kamwe: Mashabiki wa Yanga ni Mashabiki Wenye Uelewa Mkubwa Kuhusu Soka

Afisa Habari wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema mashabiki wa Yanga ni mashabiki wenye uelewa mkubwa kuhusu soka na...

READ MORE

Tanzania Yaingia 16 Bora Mashindano ya Dunia ya Mpira wa Miguu kwa Walemavu

TIMU ya Taifa ya Watu wenye ulemavu Tanzania (Tembo Warriors,) imefuzu kuingia katika hatua 16 bora katika mashindano ya kombe...

READ MORE

Mwenyekiti UVCCM Sengerema Kuja na Vipaumbele Vitano

Mwenyekiti wa Wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Sengerema Patric Mundeba amesema anakuja na vipaumbele vitano...

READ MORE

Kamwe: Nimeshuhudia Ukubwa wa Yanga Kwa Muda Ambao Nimefanya Kazi – Video

  AFISA Habari wa Yanga, Ally Kamwe leo Oktoba 4, 2022 amesema marafiki wake wanamchukulia tofauti tangu alipojiunga na klabu...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani- Qatar – (Picha +Video)

Rais ameungana na viongozi wengine duniani kushiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022 unaofanyika Multaqa Centre...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya *Gazeti la SpotiXtra* leo Octo-04  Kwa nusu bei tu   Gazeti la Spoti Xtra*https://bit.ly/3d8qcYV AU *SpotiXtra*https://bit.ly/3d8qcYV...

READ MORE

Nafasi ya Kazi Wizara ya Fedha na Mipango, Accountant – Support Application

POST ACCOUNTANT – SUPPORT APPLICATION – 1 POST EMPLOYER Ministry of Finance and Planning(MOF) APPLICATION TIMELINE: 2022-09-25 2022-10-08 JOB SUMMARY...

READ MORE

Waziri wa Madini Aridhishwa Kasi ya Ujenzi wa Kinu cha Kupoza Umeme GGML  

  NA MWANDISHI WETU WAZIRI wa Madini Dkt. Dotto Biteko ameeleza kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa kinu cha kupoza...

READ MORE