×

Ukraine Yakaribia Kujiunga na Umoja wa Ulaya EU, Rais Abariki

Nchi ya Ukraine imepiga hatua nzuri katika jitihada zake za kujiunga na Umoja wan chi za Ulaya EU, hayo yamebainishwa...

READ MORE

Makamu wa Rais Atoa Onyo kwa Mkandarasi Daraja la Pugu-Chanika

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewaasa wakandarasi wazawa kutumia vema na kwa ufanisi...

READ MORE

Rodrygo Akiri Real Madrid Walitaka Kumdhihaki Salah Baada ya Kushinda Fainali ya Uefa

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Real Madrid Rodrygo Silva de Goes maarufu kama Rodrygo amebainisha kuwa wachezaji wa Real Madrid walipanga...

READ MORE

DC Jokate Atoa Tamko Zito, Aahidi Ni Kufa ama Kupona Ndani ya Wilaya Yake

JOKATE Urban Mwegelo; ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke (DC) jijini Dar es Salaam ambaye ametoa tamko zito juu ya...

READ MORE

Putin Aibuka Adai Vikwazo Ilivyowekewa Urusi Vinawakabili Wenyewe Walioviweka

RAIS wa Urusi Vladimir Putin amesema anayashangaa Mataifa ya Magharibi kwa kuweka vikwazo ambavyo vinawakabili wao wenyewe na vikwazo hivyo...

READ MORE

Klabu ya Arsenal Imefanikiwa Kuinasa Saini ya Kinda wa Ureno, Yampa Miaka 5

KLABU ya Arsenal ya nchini Uingereza imefanikiwa kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa klabu ya FC Porto ya nchini Ureno...

READ MORE

SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS(SAA ZA GIZA TOTORO)-28

MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 ILIPOISHIA: “Nataka unitoe upweke ndani ya moyo wangu,” alisema huku akijitoa kwenye mikono yangu, nikamshuhudia...

READ MORE

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha na Wenzake Wapandishwa Kizimbani

MKURUGENZI wa zamani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

jipatie nakala ya Gazeti la championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Nafasi za Kazi 2 Tanzania Institute of Accountancy (TIA), Assistant Lecturer – LAW

POST ASSISTANT LECTURER- LAW – 2 POST EMPLOYER Tanzania Institute of Accountancy (TIA) APPLICATION TIMELINE: 2022-06-11 2022-06-24 JOB SUMMARY DUTY...

READ MORE

Yanga Yajipanga Kufanya Vizuri Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika

UONGOZI wa kikosi cha Yanga, umeweka wazi kuwa wamejiwekea malengo makubwa ya kuhakikisha msimu ujao, angalau wanacheza hatua ya makundi...

READ MORE

Msuva: Simba na Yanga Zinanitaka, Aahidi Kuweka Mambo Hadharani

KIUNGO mshambuliaji wa Wydad Casablanca, Mtanzania Simon Msuva amekiri kufuatwa na kufanya mazungumzo na timu kongwe za Simba na Yanga...

READ MORE

Mayele Amtupia Kombora Mpole, Adai Kila Mtu Ashinde Mechi Zake

  KINARA wa mabao wa Ligi Kuu Bara, Mkongomani Fiston Mayele ameibuka na kumwambia mpinzani wake wa Geita Gold, George...

READ MORE

Kiongozi Mabohora Duniani Atua kufanya “Royal Tour” Tanzania

Kiongozi Mkuu wa madhehebu ya Kiislamu ya Mabohora (Dawoodi Bohoras); Sheikh Syedna Mufaddal Saifuddin, ametua nchini Alhamisi Juni 16, 2022,...

READ MORE

Simba Yampa Mkono wa Kwaheri Mchezaji Wake Rally Bwalya

UONGOZI wa Simba umefikia makubaliano ya kumuuza kiungo wao mshambuliaji raia wa Zambia Rally Bwalya kwa timu ambayo hawajaiweka wazi...

READ MORE

Wizara ya Elimu Kupitia Mradi wa EASTRIP Yakipatia Chuo cha (NIT) Zaidi ya Bilioni 49

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia mradi wa EASTRIP imekipatia Chuo cha Usafirishaji (NIT) zaidi ya Shilingi bilioni 49...

READ MORE

Bosi Mpya wa Chelsea Awatahadharisha Mashabiki Wasitarajie Usajili Mkubwa

BOSI na Mmiliki mpya wa klabu ya Chelsea Todd Boehly amewaonya mashabiki wa Klabu ya Chelsea kuwa wasitarajie usajili mkubwa...

READ MORE

Tuchel Aishinikiza Bodi ya Chelsea Kumfungia Kazi Lewandowski

KOCHA Mkuu wa klabu ya Chelsea raia wa Ujerumani Thomas Tuchel ameisisitizia Bodi ya klabu hiyo kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha...

READ MORE

Watumiaji wa Daraja la Tanzanite na Barabara Nyingine za Haraka Kibaha – Morogoro

  SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya...

READ MORE

Mapigano Yaibuka Nchini India Kupinga Mfumo Mpya wa Vijana Kujiunga na Jeshi

POLISI Kaskazini mwa India wamelazimika kufyatua risasi kutawanya maandamano ya wananchi ambao walikuwa wanapinga mfumo mpya wa uandikishaji vijana wa...

READ MORE