Kiungo Yanga SC Awakataa Juma Balinya, Sibomana
KIUNGO mkabaji wa Yanga, Abdulazizi Makame amefunguka kuwa kosa lao pekee walilonalo kwa sasa ni kwenye eneo la ushambuliaji na kama kocha wao Mwinyi Zahera akirekebisha eneo hilo wana uwezo mkubwa wa kuwachapa Zesco United kwao.…
