Simba Yaichapa Kagera Sugar
BINGWA mtetezi wa ligi kuu ya Vodacom Simba, wamefanikiwa kuvuna pointi tatu muhimu mbele ya wakata miwa, Kagera Sugar kwa ushindi magoli 2-0 katika mchezo uliofanyika leo Novemba 4, kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.…
