#NollyWoodNews: Anita Joseph afungukia mimba feki
BAADA ya kuandamwa na mashabiki, mkongwe wa filamu kutoka Nollywood, Anita Joseph ameamua kuanika ukweli kuwa hakuwa na mimba.
Hivi karibuni staa huyo aliweka vipimo vikionesha akiwa na ujauzito wa watoto mapacha ambapo mashabiki wengi…
