Baada ya Kufungiwa, Asukile Afunguka
NAHODHA wa kikosi cha Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amefunguka kuwa hana pingamizi na maamuzi ya kamati ya mashindano ya kufungiwa michezo mitano na faini ya Shilingi 500,000 kufuatia kukutwa na hatia ya kutoa shutuma…
