Mtambo wa Mabao Azam Waahidi Kazikazi msimu ujao wa 2024/25
INGIZO jipya ndani ya Azam FC, Adam Adam ambaye ni mshambuliaji ameweka wazi kuwa amerejea ndani ya kikosi hicho kwa ajili ya kufanya kazi hivyo mashabiki wategemee makubwa.
Ni Juni 6 2024 Azam FC walimtambulisha mshambuliaji huyo…
