Bamba Tanzania Bado Inakimbiza Mjini
Huko mtaani kunasema kuwa huduma ya Miito Bomba kutoka Bamba Tanzania imekuwa ikishika kasi na mashabiki mbalimbali wamekuwa wakijiunga na huduma hiyo.
Mashabiki hao ni wa Simba na Yanga ambao wameshtukia mchongo wa matani…
