The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Bayern Munich

Alaba Asaini Miaka Mitano Real Madrid

BEKI wa Bayern Munich, David Alaba amefikia makubaliano ya kujiunga na miamba ya soka barani ulaya, Real Madrid ifikapo wakati wa majira ya kiangazi msimu huu. Beki huyo kitasa atasaini mkataba wa miaka mitano na Los…

Bayern Yarukia Dili la Rabiot

BAYERN Munich inatajwa kumwania kiungo wa Paris St. Germain, Adrien Rabiot. Barcelona kwa muda mrefu sasa imekuwa inatajwa kuwa na nafasi kubwa ya kumsajili kiungo huyo. Rabiot, amebakiza miezi sita katika mkataba wake na PSG,…

James Rodriguez Atua Bayern Munich

STRAIKA wa Real Madrid, Mcolombia, James Rodriguez ameondoka kwenye kikosi hicho baada ya kutua Bayern Munich kwa mkopo wa miaka miwili. Kutokana na usajili huo, sasa atakutana na kocha wake wa zamani, Carlo Ancelotti ambaye ni bosi…