Kiungo Fundi Yanga Ananukia Fedha Mshahara Wake Gumzo Jangwani
IMEBAINIKA kuwa, kiungo wa Yanga, Mrundi, Gael Bigirimana, alijiunga na timu hiyo kwa dau lililotajwa kuwa ni dola 85,000 ambazo ni sawa na Sh 197,452,450 za Kitanzania na kumfanya kuwa miongoni mwa nyota ghali kikosini hapo.
…
