×

Tag: bondia

Mwakinyo Kupanda Ulingoni London Septemba 03, 2022

BONDIA namba moja nchini Hassan Mwakinyo, Jumamosi hii Septemba 03, 2022 atapanda ulingoni kuzichapa na bondia Liam Smith wa Uingereza...

READ MORE

Bondia Mwakinyo Apanda Ubora Duniani

BONDIA Mtanzania Hythani Hamza Halfan ama maarufu kama Hassan Mwakinyo wa uzito wa Super Welter amepanda kutoka nafasi ya 24...

READ MORE

Baada ya Kupigwa na Msauzi, Tony Ataja Dawa – Video

Bondia wa Mtanzania, Tony Rashid ameshindwa kuutetea mkanda wake wa Ubingwa wa ABU dhidi ya bondia Bongani Mahlangu raia wa...

READ MORE

Bondia Yordenis Ugas Amtwanga Manny Pacquiao

BONDIA Manny Pacquiao amepoteza pambano dhidi ya Bondia Yordenis Ugas aliyechukua nafasi ya Errol Spence Jr, kwa tofuti ya alama...

READ MORE

Mwanafyale Apigwa KO, Kabongo, Migwede Wafanya Maajabu (Picha +Video)

    BONDIA Danny Mwanafyale usiku wa kuamkia leo Agosti 15, 2021 ameshindwa kuonyesha uwezo wake mbele Joseph Mchapeni baada...

READ MORE

Pialali, Tinampay Anakufa Mtu Kesho, Mtango Ajiweka Rehani

BONDIA  wa ngumi  za kulipwa nchini, Idd Pialali kesho Jumamosi anakibarua kigumu mbele yam kali kutoka Ufilipino, Arnel Tinampay katika...

READ MORE

Tinampay Amtisha Pialali, Naye Aapa Kumbomoa kwa KO – Video

  ARNEL Tinampay bondia Mfilipino aliyeko nchini sasa amesema atamtwanga Pialali mapema kwa sababu ameshamsoma anacheza kama bondia Mtanzania, Hassan...

READ MORE

Bondia Mwanamke Aliyeamua Mpambano wa Mwakinyo & Mcongo

BAADA ya kumaliza kuamua pambano la ubingwa wa Dunia ‘WBF’ kati ya Mtanzania, Hassan Mwakinyo Tshibangu Kayembe kutoka DR Congo,...

READ MORE

Hawa Ndo Mabondia 50 Bora Zaidi Katika Karne ya 21

Mkali wa Ufilipino Manny Pacquiao amepigiwa kura nyingi zaidi kama bondia bora katika karne ya 21 mbele ya mpinzani wake...

READ MORE

Kiduku Ammaliza Msauzi kwa TKO, Amtaka Dulla Mbabe (Picha +Video)

BONDIA Twaha Kiduku kutoka Morogoro, amemchakaza bondia kutoka Afrika Kusini, France Ramabolu,  kwa TKO kwenye raundi ya tano ya mpambano...

READ MORE

Mfilipino Atakayechapana na Mwakinyo Atua Dar – Video

Bondia bora kabisa ambaye pia anashika namba mbili katika viwango vya ubora nchini Ufilipino, Arnel Tinampay baada ya kuzidiwa na...

READ MORE

‘Dulla Mbabe’ Apewa Mapokezi Bab’Kubwa Akitokea China – Video

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi ‘Dullah Mbabe’, leo amepokelewa kwa shangwe kubwa na mashabiki wa ndondi nchini...

READ MORE

Bondia wa Kimataifa Afariki kwa Kipigo

BONDIA raia wa Urusi, Maxim Dadashev,  amefariki dunia baada ya pambano lake dhidi ya mpinzani wake, Subriel Matias,  kumsababishia majeraha...

READ MORE

Breaking: Bondia Hassan Mwakinyo Amtwanga Bondia wa Argentina

  BONDIA Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo amemtwanga kwa Knockout Bondia wa Argentina Sergio Gonzalez katika mzunguko wa 5 usiku...

READ MORE

BONDIA MWAKINYO APATA DILI UJERUMANI

TANGU aliposhinda pambano lisilo la ubingwa dhidi ya Sam Eggington nchini Uingereza, mwanamasumbwi raia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo ameweza kujitangaza...

READ MORE

Breaking: Bondia Mwakinyo Avuna Milioni 7.7 Bungeni – Video

BONDIA Hassan Mwakinyo amepewa zawadi ya Tsh. Milioni 7.72 baada ya kuchangiwa Sh. 20,000 na kila mbunge alipotembelea Bunge jijini...

READ MORE

Baada ya Kumtwanga Eggington, Mwakinyo Amtaka Amir Khan

IKIWA ni saa chache baada ya Bondia kutoka Tanzania, Hassan Mwakinyo (23), kumtwanga Bondia  wa Uingereza, Sam Eggington (25) katika...

READ MORE

Binti Mtanzania Anaechapa Ngumi Kama Jet Lee, Atunukiwa – Video

Binti Mdogo wa Kitanzania, Jamila Hamisi ameonyesha uwezo wa kupiga ngumi amewashangaza watu kwa uwezo wake mkubwa wa kupambana kwa...

READ MORE

Bondia Mtanzania Ashinda Ubingwa wa Dunia Arejea Nchini

BONDIA wa ngumi za Kulipwa nchini, Bruno Tarimo ‘Vifuaviwili’ amewasili nchini leo mchana akitokea Australia baada ya  kufanikiwa  kushinda mkanda...

READ MORE

DULLAH MBABE AMTWANGA MMALAWI

Bondia Dullah Mbabe wa nchini jana alimtwanga kwa TKO raundi ya tatu, bondia  wa Malawi, Felix Mwamaso,  katika pambano lililokuwa...

READ MORE

Pialali, Shiva Wapima Uzito Kuzichapa Kesho Bagamoyo

MABONDIA wa ngumi za kulipwa, Mtanzania, Idd Pialali na Shiva Gurgaon mapema leo wamepima uzito tayari kwa pambano la ubingwa...

READ MORE

Madee: Ilikuwa Niwe Bondia

RAPA anayetamba na Video ya Sema aliyomshirikisha mwimbaji mahiri Nandy, Hamadi Ally ‘Madee’ ameweka wazi kuwa kabla ya kuibukia katika...

READ MORE

Ujio Mpya wa Bad Boy Tanzania Isimame Kidogo!

  MSANII  wa filamu Tanzania, Ibrahimu Mbwana ‘Bad Boy’, aliyewahi kutamba kwenye filamu kama Misukosuko , Double J na nyingine...

READ MORE

Hatimaye Bondia Floyd Mayweather Kutua Tanzania

PROMOTA na Meneja maarufu wa ngumi za kulipwa nchini, Juma “Chief” Ndambile  yupo katika mikakati ya kumleta nchini bondia maarufu...

READ MORE

Ustaadh: Wadau wanataka ndonga zipigwe Jumapili

  WAKATI zikiwa zimebaki siku nne, Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBO) chini ya rais wake, Yassin Abdallah ‘Ustaadh’...

READ MORE

Ndonga za Global TV Sasa Kupigwa Jumapili Ijayo

  KUFUTIA maombi ya wadau mbalimbali nchini, Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBO), chini ya rais wake, Yassin Abdallah...

READ MORE

Bondia Mcongo Atamba Kumkalisha Mbongo Taji la Global TV

KATIKA historia ya mchezo wa ngumi za kulipwa duniani, DR Congo inakumbukwa kutokana na kufanyika kwa pambano kubwa katika uzito...

READ MORE

Vita ya Ngumi za Kimataifa Mubashara Global TV

Vita ya Ngumi za Kimataifa vitaoneshwa Mubashara na Global TV JULAI 22, mwaka huu katika Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala...

READ MORE

Nimeikalisha Familia ya Matumla, Mmalawi Atakaa Tu

Chichi Mawe akisaini mkataba wa pambano hilo mbele ya Yassin Abdallah ‘Ustaadh’ BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Miyeyusho...

READ MORE

Bondia King Class Mawe Atua Bongo Kutoka Ujerumani na Ubingwa Ubingwa wa Dunia GBC

  Bondia Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ alipotua leo katika Uwanja wa Julius Nyerere akitokea Ujerumani baada ya kushinda Ubingwa...

READ MORE

Mapambano ya Ubingwa wa Global TV Kurushwa Mubashara

  MABONDIA watatu wa Tanzania wanatarajia kupanda ulingoni katika mapambano ya kimataifa ya kuwania Ubingwa wa Global TV, Afrika Mashariki...

READ MORE