The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Bongo Movie

DUDE AONA FURSA BONGO MOVI

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameona fursa ya kutangaza biashara ya filamu ni kubwa kwa sasa tofauti na kipindi cha nyuma, kwa kuwa utandawazi wa kujitangaza ni mkubwa. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Dude…

WOLPER: MAISHA FEKI TUPA KULE

STAA wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amebumburua kuwa, huu ni wakati wa mastaa na watu wenye majina makubwa kutupilia mbali maisha feki ambayo wanayaonesha kwenye mitandao ya kijamii. Katika mazungumzo na…

WEMA AMTOSA RASMI BWANA’KE

KIMENUKA! Ule uhusiano wa kimapenzi ulioibuka kwa mbwembwe kati ya staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu na jamaa mmoja aliyefahamika kwa jina la Lawrence Masanja ‘R.A.H.U.R’ unadaiwa kufikia mwisho baada ya Wema kuamua kumwaga manyanga.  …

AUNTY LULU AAPA KUMLOGA DIAMOND

MSANII wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ametoa kali ya mwaka baada ya kueleza kuwa licha ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ hivi karibuni kusema kuwa amejifunza kuwa makini kwa kutumia kinga ili asiendelee kupata…

NIKIFA WANANGU WASOMESHWE NA RAY

CHEKESHAJI maarufu Bongo, Steve Nyerere amesema ingawa watu wamekuwa wakimkashifu kwa roho yake ya kujitolea na kusimamia misiba ya mastaa mbalimbali, lakini hatakoma kusimamia kwani ni kitu anachokifanya kutoka moyoni na kwamba…

DUMA: BONGO MUVI YA FAIDA INAKUJA

MSANII wa filamu za Kibongo, Daudi Michael ‘Duma’ ambaye hivi karibuni amefanya uzinduzi wa filamu yake ya Nipe Changu amefunguka kuhusu sanaa ya filamu kukua ndani na nje ya nchi na waigizaji kunufaika kutokana na kazi yao.  …

WELU AMFICHA MWANAYE KUHOFIA WAJA

Sexy mama wa sinema za Kibongo, Matrida Sengo ‘Welu’, kwa mara ya kwanza amefunguka kisa cha kumficha mwanaye aliyezaa na msanii Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kwamba ni kutokana na kuhofia maneno ya waja (walimwengu). Katika…

LUNGI , KALALA WANASWA KIMAHABA

MSANIi wa filamu za maigizo nchini, Lungi Mwaulanga hivi karibuni alifanya kituko cha aina yake baada ya kunaswa akijibebisha laivu kimahaba ukumbini kwa mwanamuziki wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Kalala Junior. Tukio hilo…

ESTER ATESWA NA UBONGE NYANYA

MSANII wa filamu za Kibongo, Ester Kiama amefunguka kuwa hakuna kitu kinachomtesa katika maisha yake kama ubonge alionao kwa sasa. Akipiga stori na Za Motomoto News, Ester alisema siku za hivi karibuni amekuwa akinenepeana bila…

KAJALA, WEMA WAKWEPANA LAIVU

WASANII wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu na Kajala Masanja zamani walikuwa marafiki wa kupika na kupakua kabla ya kugeuka kama paka na chui, juzikati kwenye sherehe ya arobaini ya mtoto wa mtangazaji Zamaradi Mketema walikwepana na…

AUNT AFUNGUKA KURUDIA DERA

STAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa siku zote kwenye maisha yake hapendi kuishi maisha ya mitandao na ndiyo maana hata dera alilolirudia kwenye msiba wa Patrick, hawezi kuacha kulivaa hata siku moja. …