The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Bongo

Husna Amshushia Nai Tuhuma Nzito

MREMBO aliyejipatia umaarufu Bongo kupitia mashindano ya urembo ya Miss Tanzania miaka ya nyuma na u-video vixen, Husna Maulid amemshushia tuhuma nzito msanii chipukizi wa Bongo Fleva, Nai. Husna amedai kuwa, Nai alikuwa…

Muziki Sio Uhuni, ni Fursa,

MUZIKI ni ala zilizounganishwa ili kutengeneza kitu ambacho kinaitwa burudani. Muziki wa Tanzania kwa upande wa Bongo Fleva na Hip Hop, ulianza miaka ya 1990 baada ya kuibuliwa na waasisi mbalimbali waliokuza muziki huo akiwamo Mike…

Davina Apagawishwa na Keki

DAR ES SALAAM: Mwigizaji wa kitambo Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ juzikati alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ‘birthday’ ambapo alijumuika na marafi ki zake kwenye Ukumbi wa Sparrows Launge uliopo Dar Free Market, Dar, lakini…

Diva, Ukubwa Haupigi Hodi

MOJA kati ya vitu ambavyo binadamu ameshindwa kuvizuia, ni kukua kwake, kiakili na kimwili. Ukiondoa matatizo ya kiafya yanayoweza kufanya vinginevyo katika mwili wa binadamu, ilivyo ni kwamba kadiri anavyoongezeka umri, akili yake…

AMANDA: Tatuu ni Kama Teja wa Unga

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| RISASI VIBES MWANADADA kutoka Bongo Muvi, Amanda Poshi ameibuka na kusema kuwa kuchora michoro mwilini ‘tatuu’ ni kama teja wa madawa ya kulevya ‘unga’ kwani ukijaribu moja, unatamani ujaze…

Steve:Tumuenzi Kanumba kwa Vitendo

MSANII wa maigizo na vichekesho nchini, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema kuwa, wasanii wa tasnia ya filamu wanapaswa kumuenzi kwa vitendo aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Charles Kanumba ambaye leo ametimiza miaka mitano…

Ester Kiama Akataa Kuzaa na Dude

Na Gladness Mallya|Risasi Mchanganyiko|Za Motomoto News STAA wa filamu za Kibongo, Ester Kiama ameibuka na kusema hayupo tayari kuzaa na mpenzi wake wa sasa ambaye pia ni msanii, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ingawa anatamani kuzaa mtoto wa…

UWOYA: Mh! kwa Nape Hapana!

Na IMELDA MTEMA/GPL IRENE Uwoya amekataa katakata kuzungumzia chochote kuhusiana na kutumbuliwa kwa aliyekuwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye na kusema chochote ambacho kipo, kiendelee kubaki hivyo hivyo…

Ndoa ya Husna Yapigwa Kalenda

MSHIRIKI wa Miss Tanzania 2012, Husna Maulid ambaye Februari, mwaka huu ilikuwa aolewe kwa mbwembwe zote na mwanaume wake raia wa Congo, Mwami Rajabu, hatimaye shughuli hiyo imesogezwa mbele. Mwishoni mwa mwaka jana, msanii huyo…