The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Bongo

Mary Mawigi Alia na Wanasiasa

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| RISASI VIBES MSANII wa filamu Bongo, Mary Mawigi amelia na wanasiasa, akiwataka kuangalia matatizo ya wananchi na kuyafanyia kazi, badala ya kuendekeza mambo ya mitandao ya kijamii na vyombo…

JIDE: Tuache Kuwaziana Mabaya

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| RISASI VIBES WAKATI akitarajia kuzindua albamu yake ya saba Ijumaa hii, mkongwe wa Afro Pop Bongo, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ amewataka wabongo kuacha kuwaziana mabaya, kwani wengi wao…

Davina Amshauri Jambo Mwakyembe!

Na GLADNESS MALLYA| RISASI MCHANGANYIKO| ZA MOTOMOTO NEWS NYOTA wa filamu nchini, Halima Yahaya ‘Davina’ amemtaka Waziri Mpya wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe kuendeleza mambo mazuri yaliyoanzishwa na…

Mastaa: We Gonna Miss You Nape

Na GLADNESS MALLYA| IJUMAA WIKIENDA| HABARI WE GONNA miss you! Ndivyo baadhi ya mastaa walivyosikika wakisema mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ kufanya mabadiliko madogo ya baraza…

Wema, Jike Shupa Kimenuka!

Na GLADNESS MALLYA| RISASI JUMAMOSI| HABARI DAR ES SALAAM: Ule ushosti wa staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu na muuza sura kwenye video za wasanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ unadaiwa kuvunjika na sasa…

Shilole Atamba kwa Shoo za Nje

Na BONIPHACE NGUMIJE| GAZETI LA UWAZI| SHOWBIZ MWANADADA asiyekauka kwenye media ambaye ni Mwanamuziki na Muigizaji Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa yeye ndiye msanii wa kike Bongo anayeongoza kwa shoo za nje.…

Tunda Bata Kama Kawa

Na MAYASA MARIWATA| IJUMAA WIKIENDA| OVER ZE WEEKEND Muuza nyago kwenye video za mastaa wa Bongo Fleva, Tunda Sebastian ambaye wiki chache zilizopita alikumbwa na msala baada ya kuitwa kuhojiwa katika Kituo Kikuu cha Polisi ‘Sentro’…

Isabela Aichezea Sharubu TCRA

MWANAMAMA kutoka kiwanda cha muziki Bongo, Isabela Mpanda anaonekana kuichezea sharubu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ‘TCRA’ baada ya hivi karibuni kutukana matusi ya nguoni kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Instagram…

Fid Q Afungukia Kupiga Chini Gemu

Na BONIPHACE NGUMIJE| GAZETI LA UWAZI| UWAZI SHOWBIZ MWANAMUZIKI mwenye jina kubwa katika Muziki wa Hip Hop Bongo, Farid Kubanda ‘Fid Q’ hivi karibuni amefunguka kuwa yeye si wa kuacha muziki leo wala kesho maana muziki ni sehemu ya…