The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

bongofleva

Dully Sykes: Sigangi njaa

MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya, Dully Sykes ‘Mr Misifa’ amejinasibu kuwa anafanya sanaa hiyo kwa vile iko ndani ya damu yake na si kuganga njaa kama wengine wanavyofanya. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, baba huyo wa…

MWANA FA: SIJAWAHI KUHONGA

RAPA asiyechuja kwenye muziki wa Hip Hop Bongo, Hamis Mwijuma ‘Mwana FA’ ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa katika maisha yake yote ya ujana, hajawahi kumhonga mwanamke pesa ili apendwe. Akichonga na Risasi Vibes, Mwana FA…