CALISA ASHINDA MEDALI YA MR AFRICA NCHINI NIGERIA
Mwanamitindo wa kiume Tanzania, Callisah ameibuka mshindi wa Mister Africa International 2018 katika mashindano yaliyofanyika nchini Nigeria.
Shindano hilo lilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita nchini Lagos, Nigeria…
