Tanzania U-23 Yafuzu Nusu Fainali Cecafa
Timu ya Taifa ya Tanzania kwa vijana wenye umri chini ya miaka 23 (U-23) imefuzu kwa hatua ya nusu fainali baada ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Uganda katika michuano hiyo ya Afrika Mashari na Kati (CECAFA).
Katika…
