MIAKA 20 YA CHAKUWAMA, SHEIK MKUU AKABIDHI MISAHAFU 100
KATIKA kusheherekea miaka 20 ya kituo cha watoto yatima kilichopo Sinza-Mori jijini Dar kinachojulikana kwa jina la CHAKUWAMA, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Musa, ametoa pongezi na usia kwa walezi wa kituo…
