HASHIM RUNGWE Alivyoripoti Polisi, Adai Watapata Shida – Video
MWENYEKITI wa Chama cha Umma (CHAUMA), Hashim Rungwe, amehojiwa na Kamanda wa Polisi Kinondoni katika Kituo cha Polisi, Oyster Bay jijiji Dar es Salaam, kwa tuhuma za kufanya mkutano wa ndani bila kibali kutoka jeshi hilo.
…
