Yamemkuta: Chris Brown Ashtakiwa kwa Tuhuma za Ubakaji
STAA wa muziki kutoka nchini Marekani Christopher Maurice Brown maarufu Chris Brown anadaiwa kumbaka mwanamke kwenye boti iliyokuwa imeegeshwa nyumbani kwa Diddy Star Island.
Mwimbaji huyo anashtakiwa na Jane Doe ambaye ni…
