Mourinho Amsifu Smalling Akishinda
KOCHA wa AS Roma, Jose Mourinho, amesema kuwa ameridhishwa na kiwango cha staa wake Chris Smalling.
Smalling alionyesha kiwango cha juu wakati Roma ilipopata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Zorya Luhansk kwenye michuano mipya ya Europa…
